ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,825
- 27,264
Nmesubiri uweke vifungu vya sheria kumbe mboyoyo tuHapa wengi hawajui sheria
1. Pamoja na kwamba Azamu Ndio haki ya Matangazo ya mpira; hana haki ya kutoa matokeo ya match moja tu kwenye Billboard. Kuna haki Sawa kwa match zote?
2. Kwa nini hawajatoa Matangazo ya aina Hii kwa match zote? Kutoa Tangazo la match Hii moja, nini dhamira kuu?
3. Ukiangalia Simba ni injured party kwa hili, kuwa hali ya Matangazo ya TV na radio ni Sawa Iła sio billboard
4. Kwa sababu wametumia logo nje ya utaratibu basi Simba ana Haki ya Kudali fidia
5. Yanga kaweka Tangazo la wadhamini wale albo sio wadhamini wa Simba