rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,342
- 20,467
Rage ameshalichukua na kwenda kuushauri uongozi.
Watu watapata elimu ya image right
Watu watapata elimu ya image right
sasa si mfungue iyo kesi tuone mnavopata hizo billions mnasubiri nn??Unateseka wewe kuweka mabango ya kishama unaingia gharama za kijinga na ukiburuzwa mahakamani unalipishwa billions of money. Kweli ushamba ni mzigo. Simba aliifunga Yanga 5-0 mbona hakuweka mabango? Mtahangaika sana mwaka huu
Wewe ndio unatakiwa ulete hio orodha sababu unazijua kesi amabazo kasha simamia vinginevyo ni umbea wa vibalazaniLete alizowahi kushinda kwanza hta moja.
Nmesubiri uweke vifungu vya sheria kumbe mboyoyo tu
Nilishaleta tayari na thread ipo na nadhani umeiona sina haja ya kuanzisha tena upya.Wewe ndio unatakiwa ulete hio orodha sababu unazijua kesi amabazo kasha simamia vinginevyo ni umbea wa vibalazani
Unashuka mashairi bila evidence, leta vifungu vya sheria ku support maelezo yakoUnasubiria kama Fisi? Maana yeye hawindi, anasubiria mizoga
Vifungu shughulisha ubongo wako
Mbili za Fei.Lete alizowahi kushinda kwanza hta moja.
Kwenye uzi wako kesi ambayo imetolewa hukumu ni ya Morrison tu hizo zingine tupe mrejesho ukiwa na evidenceNilishaleta tayari na thread ipo na nadhani umeiona sina haja ya kuanzisha tena upya.
Kipindi hicho alikua analamba kamasiAl ahly sisi tumempiga taifa goli la Canavaro
Mlipigwa faini mbona unarudisha mambo nyuma Lucy aymel aliwapeleka FIFA akawagaragaza na mkalipa faini sasa lete mliyoshinda hata moja hapa na yule kilaza wenu.Kwenye uzi wako kesi ambayo imetolewa hukumu ni ya Morrison tu hizo zingine tupe mrejesho ukiwa na evidence
Zile hazikutolewa maamuzi serikali iliingilia kati.Mbili za Fei.
Ila kesi walishinda hawakushinda? au kitu gani kilimfanya Fei akate rufaa? Yule mwanasheria wa Morisson pamoja na Yule mmama,TFF walikuwa wanaenda kufanya nini?Zile hazikutolewa maamuzi serikali iliingilia kati.
Hahaaaaa, mkombozi umeshababisha Michele kwa jinsi ulivyoruka kiunzi hoja ya jamaa. Anatakiwa ashughulishe fuvu lake sio?😀😀😀😀😀Unasubiria kama Fisi? Maana yeye hawindi, anasubiria mizoga
Vifungu shughulisha ubongo wako
Unaweza kuleta hapa ushaidi wa hio faini?Mlipigwa faini mbona unarudisha mambo nyuma Lucy aymel aliwapeleka FIFA akawagaragaza na mkalipa faini sasa lete mliyoshinda hata moja hapa na yule kilaza wenu.
Bango ni juu ya matokeo ya mechi yetu na nyinyi vibonde wetu, hivyo hapo tungeweka nini ili ifahamike kwamba tumeifunga Simba goli 5?
Lakini umeongelea vizuri b… Walau wewe una akili hata sijui ilikuwaje ukawa kolo, taifa limepata hasara.
IRC ( Image right contract ) hii kitu ukiisoma vzr inavyotumika ktk Soka raha sanaRage ameshalichukua na kwenda kuushauri uongozi.
Watu watapata elimu ya image right
Wamevurugikiwa jmnDOH Yanga wamewaweza aseeSimba mmepanic sana, hio ni picha ya matokeo, wala logo yenu haijatumika vibaya, ni mtu tu kaamua kutoa taarifa ya matokeo yenu
Amina, madam. Asante sanaUmesema bado hujaajiriwa? Hii knowledge ni kubwa sana kutokufanyiwa kazi.
Mungu akusaidie upate ajira rasmi, na kama kuna watakaopita hapa wenye uhitaji mchukueni kijana yuko vizuri.
Nimekukubali sana
Shukrani sana mkuuNi wachache tunajua vitu kama hivi hongera sana, majority ya watu kwenye hizi nchi changa zimejaa uninformed customers both actual and potential customers, most purchases are done blindly, however this is the viral one but it has to be linked with a special theme, inaback pakubwa ni brand zaidi