The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,905
Kuna jamaa alipata kazi kwenye moja ya taasisi kubwa
serikalini.....
Akiwa hana ndugu wa godfather hapo ofisini ,mambo
mengi yalikuwa yanampita......
Vipromosheni vidogovidogo,visemina,warsha n.k..
Kama bahati akampata dada mmoja hapo ofisini ambaye
ametangulia kufanya kazi hapo miaka michache kabla yake
so wakapendana baada ya mda wakafunga ndoa..
Baada ya ndoa....mambo yakaanza kumnyookea...
Mara semina,mara kozi ndogo ,mara warsha nje ya nchi
n.k n.k
miaka michache ikapita jamaa akapanda ngazi kadhaa
kimasilahi na kwa vyeo......
Yeye na mkewe wakajenga nyumba kadhaa,magari n.k
well....hata hivyo kulikuwa na habari kuwa
mke anamsaidia mumewe kupata hizo promoshen kwa
ku lala na mabosi mbalimbali wa taasisi hiyo.....
Haijulikani ni vipi mume hakujua kabisa au vipi but kadri
habari zinapoenea mwisho habari zikamfikia mume
na mgogoro ukaanza.....
Siku moja mume na mke wamegombana.....ugomvi unahusu
mke alikuwa anahisi mume anatoka nje....
Katika kutupiana maneno.....mwisho mke akasema...
We unafikiri bila mimi we ungefika hapo???unafikiri hizo
promosheni umezipata bure tu??
Kasheshe likaibuka na baadhi ya ndugu ilibidi
waitwe kutuliza huo ugomvi,ingawa hizo habari kuwa
mke alikuwa anagawa mambo ili mume apande zinafahamika
pia kwa baadhi ya ndugu.....
Kwa sasa mke na mume bado wapo pamoja but....
Kauli ya mke inaonekana kumchanganya mume kabisa...
Hakuna anaejua what will happen lakini
kama kawaida watu wanazidi kuzungumza na kila mtu
anazungumza lake......
Wewe ungekuwa ni ndugu wa mume ungemshauri nini???
Akina mama wengi katika mazungumzo wanaona mume
asamehe,na inaonekana kama kesi za aina zipo nyingi sana.
But kwa wanaume naona wanamlaumu mwanamke...
Wewe unaonaje?????????
serikalini.....
Akiwa hana ndugu wa godfather hapo ofisini ,mambo
mengi yalikuwa yanampita......
Vipromosheni vidogovidogo,visemina,warsha n.k..
Kama bahati akampata dada mmoja hapo ofisini ambaye
ametangulia kufanya kazi hapo miaka michache kabla yake
so wakapendana baada ya mda wakafunga ndoa..
Baada ya ndoa....mambo yakaanza kumnyookea...
Mara semina,mara kozi ndogo ,mara warsha nje ya nchi
n.k n.k
miaka michache ikapita jamaa akapanda ngazi kadhaa
kimasilahi na kwa vyeo......
Yeye na mkewe wakajenga nyumba kadhaa,magari n.k
well....hata hivyo kulikuwa na habari kuwa
mke anamsaidia mumewe kupata hizo promoshen kwa
ku lala na mabosi mbalimbali wa taasisi hiyo.....
Haijulikani ni vipi mume hakujua kabisa au vipi but kadri
habari zinapoenea mwisho habari zikamfikia mume
na mgogoro ukaanza.....
Siku moja mume na mke wamegombana.....ugomvi unahusu
mke alikuwa anahisi mume anatoka nje....
Katika kutupiana maneno.....mwisho mke akasema...
We unafikiri bila mimi we ungefika hapo???unafikiri hizo
promosheni umezipata bure tu??
Kasheshe likaibuka na baadhi ya ndugu ilibidi
waitwe kutuliza huo ugomvi,ingawa hizo habari kuwa
mke alikuwa anagawa mambo ili mume apande zinafahamika
pia kwa baadhi ya ndugu.....
Kwa sasa mke na mume bado wapo pamoja but....
Kauli ya mke inaonekana kumchanganya mume kabisa...
Hakuna anaejua what will happen lakini
kama kawaida watu wanazidi kuzungumza na kila mtu
anazungumza lake......
Wewe ungekuwa ni ndugu wa mume ungemshauri nini???
Akina mama wengi katika mazungumzo wanaona mume
asamehe,na inaonekana kama kesi za aina zipo nyingi sana.
But kwa wanaume naona wanamlaumu mwanamke...
Wewe unaonaje?????????