klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
hehe ankal , tupe porojo lako basi kuhusiana na huyu kimeo wa sweetdada.Ankal @ work
hehe ankal , tupe porojo lako basi kuhusiana na huyu kimeo wa sweetdada.Ankal @ work
Huyo ni nyambaff kabisa hafai hata kupewa majukumu anachanganyikiwa kitu gani sasa labda kama ameishanyonyolewa/kunyonyoa wengihehe ankal , tupe porojo lako basi kuhusiana na huyu kimeo wa sweetdada.
Halafu kama ni mwanaume ndio wale wanaitwa HE WASN'T MAN ENOUGHhehe ankal , tupe porojo lako basi kuhusiana na huyu kimeo wa sweetdada.
unajua ankal, nimeshasuluhisha ma relationship mengi sana east afrika mashariki na kati lakini excuse kama hii ndio kwanza nimesoma leo hapa JF. kule Saudia mzembe kama huyu ananyongwa halaf anazikwa na jeshi. sasa na hilo jibaba uskute pengine bado linang'ang'ania na kufuga huu uzembe.Huyo ni nyambaff kabisa hafai hata kupewa majukumu anachanganyikiwa kitu gani sasa labda kama ameishanyonyolewa/kunyonyoa wengi
Ankal kuna haja ya huyo mtu kuchunguzwa kama ni mzima kwanza, au akapelekwa akae kambi ya jeshi kwanzaunajua ankal, nimeshasuluhisha ma relationship mengi sana east afrika mashariki na kati lakini excuse kama hii ndio kwanza nimesoma leo hapa JF. kule Saudia mzembe kama huyu ananyongwa halaf anazikwa na jeshi. sasa na hilo jibaba uskute pengine bado linang'ang'ania na kufuga huu uzembe.
sweetdada ni bora kama huyo mtu angechanganyikiwa na huyo mwenzi/mchumba wake ningemuona wa maana sana:lol::lol::lol::lol: mbavu zangu mie..wananchi mna hasira ..ssa mkimuona live je si mtamtoa macho
yani ni hivi..mwanadada kamwambia mpenziwe hampendi kisa amechanganyikiwa..mpenzi kuuliza umechanganyikiwa nini?mwanadada kujibu kila kukicha mie natakwa tuuu mpaka sijui nani mkweli nani muongo,hata sijui maana ya kupenda ni nini,yani hapa nilipo nimechanganyikiwa sijui hata kama unanipenda au la!!
swali ni kwamba.je inawezekana eti kisa unatakwa ndo uchanganyikiwe useme humpendi mpenzi wako?
yani ni hivi..mwanadada kamwambia mpenziwe hampendi kisa amechanganyikiwa..mpenzi kuuliza umechanganyikiwa nini?mwanadada kujibu kila kukicha mie natakwa tuuu mpaka sijui nani mkweli nani muongo,hata sijui maana ya kupenda ni nini,yani hapa nilipo nimechanganyikiwa sijui hata kama unanipenda au la!!
swali ni kwamba.je inawezekana eti kisa unatakwa ndo uchanganyikiwe useme humpendi mpenzi wako?
hehehe halaf kila ukisoma hizi sredi za JF ndio unazidi kugundua kwamba hili taifa lina idadi kubwa ya wazembe kuliko tunavyofikiria. hivi michelle hajaludi loliondo?Ankal kuna haja ya huyo mtu kuchunguzwa kama ni mzima kwanza, au akapelekwa akae kambi ya jeshi kwanza
mkuu huyu ni msanii tu, tena usanii wake ni bomu kuliko wa kanumba, yaani hii excuse hata milembe haipatikani, kama anaongea maneno hii mbele yangu lazima tung'oane meno japo mawili. khaaa!Hapa inavoonekana hako kamdada kamepata jamaa zaidi ya huyo jamaa kalokuwa nae... sasa ili kujichomoa kakaona kasingizie kutakwa na watu wengi... kap**zi sana watu wanatakwa kila sehemu mpaka na wakwe zao lakini wanasimamia kile wanachoamini!!!!
wewe haujachanganyikiwa kwa maPM yangu?Hahahhahahaa.....kweli huyo dada ni kiboko!!!Ingekua kila mtu yuko hivyo watu wengi sana wangekua wamchanganyikiwa!!Huyo anatafuta tu sababu ya kuachana na mwenzake.....kuna mahali macho yametua na anatafuta jinsi yakusogeza miguu!!!
Michelle hajarudi kutoka loliondo nasikia alivunja masharti yeye badala ya kunywa kikombe kimoja akanywa kidumu cha lita tano sasa dawa imemzidia mwilinihehehe halaf kila ukisoma hizi sredi za JF ndio unazidi kugundua kwamba hili taifa lina idadi kubwa ya wazembe kuliko tunavyofikiria. hivi michelle hajaludi loliondo?
wewe haujachanganyikiwa kwa maPM yangu?
dah! na baba mchungaji yuko keko, sjui nani atafanya maombi ya zaruraMichelle hajarudi kutoka loliondo nasikia alivunja masharti yeye badala ya kunywa kikombe kimoja akanywa kidumu cha lita tano sasa dawa imemzidia mwilini
maneno kama haya niandikie huku PM, hapa wanuka jasho watanilogaHhehehehehee !Nimeshikwa nikashikika mwenzio....siyumbi wala sipepesuki!!!
Mama Mchungaji Lizzy ndio anafanya maombi ya dharura ila nimesikia naye anatoa dawadah! na baba mchungaji yuko keko, sjui nani atafanya maombi ya zarura
Hahaha! TF na Kloro,Michelle yupo hapa nyumbani infakti anapika chai huku kavaa kanga moja,kama ana maradhi namtibu mwenyewe lol!Michelle hajarudi kutoka loliondo nasikia alivunja masharti yeye badala ya kunywa kikombe kimoja akanywa kidumu cha lita tano sasa dawa imemzidia mwilini