4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,784
Salam wana JF popote mlipo, amani ya Mungu na ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Mada yangu ni fupi sana kwako msajili wa vyama vya siasa Tanzania.
Husika na kichwa cha habari tajwa apo juu naomba kupitia mamlaka ya ofisi yako kukifutilia mbali chama cha mapinduzi, na moja ya sababu ya kuomba kukifuta ni kama nitakavyoeleza .
Kwanza kabisa ccm ni chama kama vilivyo vyama vingine hivyo akiko juu ya sheria, ni lazima pia shughulikiwa pale kinaenda tofauti na sheria, na ukiukaji wa haki za kibinadam.
Binafsi naona kuna mambo wanafanya kwenye mikutano yao hayavumiliki,na yakiachwa wenda siku moja kama jamii , familia kuja kulia na kusaga meno.
Ikumbukwe naweza nisiwe ccm ila wapo ndugu , marafiki, amabao ni wanachama wao ila bado ni watu wetu wa karibu.
Kuna tabia ya CCM na sio ya leo ya kusomba watu kwenye mikokoteni, mafuso, n.k toka sehem moja kwenda sehem nyingine ili kuongeza vichwa hasa kwenye mikutano ya mwenyekiti wao, hii ni hatari, na tumekua tukiwaonya na kuwambia hawasikii , kwa makusudi au kibri cha madaraka, na kwa kibri ichi ipo siku yanaweza tokea na kuacha majonzi makubwa kuanzia kwenye familia , jamii na taifa kwa ujumla.
Kwa kuwa ccm tumekua tunawambia, tunawashauri ila hawataki sikia kwa kibri cha madaraka na kwa kuwa ushahidi upo,
Naleta maombi binafsi kwako kama msajili kufutilia mbali chama ichi ili kuepusha majanga ambayo yanaweza kutokea bila sababu.
Thanks msajili
Mada yangu ni fupi sana kwako msajili wa vyama vya siasa Tanzania.
Husika na kichwa cha habari tajwa apo juu naomba kupitia mamlaka ya ofisi yako kukifutilia mbali chama cha mapinduzi, na moja ya sababu ya kuomba kukifuta ni kama nitakavyoeleza .
Kwanza kabisa ccm ni chama kama vilivyo vyama vingine hivyo akiko juu ya sheria, ni lazima pia shughulikiwa pale kinaenda tofauti na sheria, na ukiukaji wa haki za kibinadam.
Binafsi naona kuna mambo wanafanya kwenye mikutano yao hayavumiliki,na yakiachwa wenda siku moja kama jamii , familia kuja kulia na kusaga meno.
Ikumbukwe naweza nisiwe ccm ila wapo ndugu , marafiki, amabao ni wanachama wao ila bado ni watu wetu wa karibu.
Kuna tabia ya CCM na sio ya leo ya kusomba watu kwenye mikokoteni, mafuso, n.k toka sehem moja kwenda sehem nyingine ili kuongeza vichwa hasa kwenye mikutano ya mwenyekiti wao, hii ni hatari, na tumekua tukiwaonya na kuwambia hawasikii , kwa makusudi au kibri cha madaraka, na kwa kibri ichi ipo siku yanaweza tokea na kuacha majonzi makubwa kuanzia kwenye familia , jamii na taifa kwa ujumla.
Kwa kuwa ccm tumekua tunawambia, tunawashauri ila hawataki sikia kwa kibri cha madaraka na kwa kuwa ushahidi upo,
Naleta maombi binafsi kwako kama msajili kufutilia mbali chama ichi ili kuepusha majanga ambayo yanaweza kutokea bila sababu.
Thanks msajili