Hii CCM inayofanya maongezi na balozi wa marekani bado ni Chama cha Mapinduzi?

Unayo HOJA,

Ingawa Hadi sasa CCM haieleweki kama chama Cha kijamaa au la kutokana na RUSHWA kutamalaki na mfumo wa kibepari.

Na ikiwa unataka kuhama, uhamie chama kipi?
 
Utakuwa na makasiriko mmcheppukko uliyeachika
Si ajabu maana nchi imevamiwa na mabasha wa kimarekani na wanatoa hela sana. Vijana wengi wanapenda hela ya wamarekani wala hawaoni wanadhalilika. Ukisema vibaya amerika wanakasirika.
 
Kwa kawaida mabalozi hawaingilii mambo ya ndani ya nchi wanapowakilisha. Bila shaka ndio taratibu. Mambo ya vyama vya siasa ni mambo ya ndani ya nchi husika. Lakinini utasikia balozi wa marakani kukutana na kiongozi wa upinzani kwenye nchi anawakilisha hasa hizi za kiafrika zenye msimamo wa kimapinduzi.

Au waziri wa marekani kwenye ziara nchi fulani kukutana na wapinzani. Wasijifanye ndio vinara wa demokrasia wakati ni vinara wa dhuluma na kuchunga maslahi yao tu. Hivi leo kinachoendelea palestina la ajabu hatujasikia kauli yoyote ya ccm au serikali yake.

Hakika kama mwanaccm sikupendezwa na uongozi huu wa kina nchimbi kinana na samia. Eti Nchimbi anamkaribisha balozi wa Marekani makao makuu ya CCM. Sijui chama cha mapinduzi wanaongea nini na vinara wa ubeberu na ukandamizaji duniani. Kwangu ni sawa na shetani kukaribishwa makao makuu ya CCM.

Tungeacha mahusiano kwenye ngazi ya serikali tu sio chama. Sidhani tunahitaji mahusiano ya karibu CCM na marekani. Huko wanakoenda huenda wengine tutahama chama maana kiitikadi tutatofautiana kabisa.

Huyo macho kumchuzi naona amewekwa kutimiza matakwa ya wamarekana kuiondoa ccm madarakani.

Demokrasia wanayotaka wamarekani ni ile ya kuwapa nafasi kutekeleza matakwa yao kuweka vibaraka wao kuongoza nchi.
Udini tu unakusumbua
 
Unayo HOJA,

Ingawa Hadi sasa CCM haieleweki kama chama Cha kijamaa au la kutokana na RUSHWA kutamalaki na mfumo wa kibepari.

Na ikiwa unataka kuhama, uhamie chama kipi?
Japo kuna mtu kama wewe unanielewa.
Hilo la chama gani nitahamia nitajua muda ukifika. Sitaki kua sehemu ya unafiki. Mapambano ya uhuru na maendeleo ya tanzania ni safari ndefu. Walianza kina nyerere hawapo tena kwa hivyo wapo wataendeleza.
 
Safi sana umeongea point mkuu.

Ifike wakati nchi za magharibi ziache kujihusisha na internal affairs za nchi zetu ili kutupa uhuru wa kusimamia mambo yetu wenyewe.
 
Japo kuna mtu kama wewe unanielewa.
Hilo la chama gani nitahamia nitajua muda ukifika. Sitaki kua sehemu ya unafiki. Mapambano ya uhuru na maendeleo ya tanzania ni safari ndefu. Walianza kina nyerere hawapo tena kwa hivyo wapo wataendeleza.
Mimi pia CCM siwaelewi, upinzani pia sikuwaelewa,

Lakini imebidi niungane nao Kwa sasa kudai Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya Ili Katiba kimfumo itoe dira ya siasa na Uchumi wetu ichukue mlengo upi Hasa,

Maana Hadi sasa hatujulikani kama popo, Kwa ndege hakai, Kwa wanyama hakai!!
 
Kwa kawaida mabalozi hawaingilii mambo ya ndani ya nchi wanapowakilisha. Bila shaka ndio taratibu. Mambo ya vyama vya siasa ni mambo ya ndani ya nchi husika. Lakinini utasikia balozi wa marakani kukutana na kiongozi wa upinzani kwenye nchi anawakilisha hasa hizi za kiafrika zenye msimamo wa kimapinduzi.

Au waziri wa marekani kwenye ziara nchi fulani kukutana na wapinzani. Wasijifanye ndio vinara wa demokrasia wakati ni vinara wa dhuluma na kuchunga maslahi yao tu. Hivi leo kinachoendelea palestina la ajabu hatujasikia kauli yoyote ya ccm au serikali yake.

Hakika kama mwanaccm sikupendezwa na uongozi huu wa kina nchimbi kinana na samia. Eti Nchimbi anamkaribisha balozi wa Marekani makao makuu ya CCM. Sijui chama cha mapinduzi wanaongea nini na vinara wa ubeberu na ukandamizaji duniani. Kwangu ni sawa na shetani kukaribishwa makao makuu ya CCM.

Tungeacha mahusiano kwenye ngazi ya serikali tu sio chama. Sidhani tunahitaji mahusiano ya karibu CCM na marekani. Huko wanakoenda huenda wengine tutahama chama maana kiitikadi tutatofautiana kabisa.

Huyo macho kumchuzi naona amewekwa kutimiza matakwa ya wamarekana kuiondoa ccm madarakani.

Demokrasia wanayotaka wamarekani ni ile ya kuwapa nafasi kutekeleza matakwa yao kuweka vibaraka wao kuongoza nchi.
huo ndio msingi wa uimara wa mahusiano mema baina ya Tanzania, taasisi zake za umma na zisizo za umma dhidi ya Jumuiya za kimataifa 🐒
 
Una hoja ijapokuwa unapopolewa na wengi. Uhuru ni maendeleo. Chama kinapaswa kuendelea kuwa huru. Ushirikiano ni kati ya serikali na serikali sio serikali na chama.
 
Kwa kawaida mabalozi hawaingilii mambo ya ndani ya nchi wanapowakilisha. Bila shaka ndio taratibu. Mambo ya vyama vya siasa ni mambo ya ndani ya nchi husika. Lakinini utasikia balozi wa marakani kukutana na kiongozi wa upinzani kwenye nchi anawakilisha hasa hizi za kiafrika zenye msimamo wa kimapinduzi.

Au waziri wa marekani kwenye ziara nchi fulani kukutana na wapinzani. Wasijifanye ndio vinara wa demokrasia wakati ni vinara wa dhuluma na kuchunga maslahi yao tu. Hivi leo kinachoendelea palestina la ajabu hatujasikia kauli yoyote ya ccm au serikali yake.

Hakika kama mwanaccm sikupendezwa na uongozi huu wa kina nchimbi kinana na samia. Eti Nchimbi anamkaribisha balozi wa Marekani makao makuu ya CCM. Sijui chama cha mapinduzi wanaongea nini na vinara wa ubeberu na ukandamizaji duniani. Kwangu ni sawa na shetani kukaribishwa makao makuu ya CCM.

Tungeacha mahusiano kwenye ngazi ya serikali tu sio chama. Sidhani tunahitaji mahusiano ya karibu CCM na marekani. Huko wanakoenda huenda wengine tutahama chama maana kiitikadi tutatofautiana kabisa.

Huyo macho kumchuzi naona amewekwa kutimiza matakwa ya wamarekana kuiondoa ccm madarakani.

Demokrasia wanayotaka wamarekani ni ile ya kuwapa nafasi kutekeleza matakwa yao kuweka vibaraka wao kuongoza nchi zetu.
CCM ni zaidi ya shetani.
CCM ni zaidi ya beberu.
 
Back
Top Bottom