wanafunzi bana yani mnaoneana wivu ,hivi siku hizi mnakopeshana kweli maana nakumbuka enzi zetu tulikuwa tunasaidiana aliye na mkopo anamsaidia ambaye hana na ambaye hana sometime anakuwa njema anamboost ambaye anao siunajua tena kichuo yani kuiikuwa hamna vielement vya wivu kama nnavyoviona kwenye huu uzi,Inaonyesha wazi kabisa kunaupande unatama hata Heslb ife ili kundi flani lipate shida,Lakini kimsingi hamna haja ya kuchukiana unalo boom shukuru huna life litasonga na punde wote mwaweza kuwa graduate katika kadhia husika so please wanajamvi especially ambao mko vyuoni heshimianeni na mjaliane sio flani anamkopo basi halingumu kama hii ikimkumba unapiga vigelegele kumbukeni mtamaliza mtakuja kazini na huku mambo ni yale yale kwani mnaweza wote mkawa na qualification sawa lakini mwenzako akawa sehemu ambayo inampa authority zaidi sasa kama mnachuki way back inakuwaje sasa ndo unakuta kile ukiomba kitu unaambiwa subiri mpaka board ikae halafu wafanyakaziwenzako wakiomba mkopo fasta,leave fasta, n.k.so please wanazuoni hatuendi hivo mjaliane!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.