Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

MSALARY

Member
Nov 10, 2022
25
25
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Mipango Dodoma main campus nasoma mwaka wa tatu degree ni mnufaika wa Bodi ya Mikopo, tangu mwaka wa kwanza nimekumbana na changamoto ya kutowekewa allocation na sio mimi tu, tupo wengi sana na mpaka dakika hii hatujapata boom ni wiki ya tatu hii tangu tufungue chuo na sisi ni watoto wa walala hoi tunaishi kwa boom.

Wengi wetu tunategemea hizo fedha tulipe Kodi, bima na hata ada kwa ambao hatuna 100%. Wenye nyumba wanatudai kodi, kula yetu ya shida kiukweli inaumiza sana.

Wana JF, ushauri wenu tafadhali. Na kama kuna kiongozi anahusika na suala hili kiukweli huku Chuo cha Mipango hali ni mbaya; kisaikolojia imetuathiri sana wanafunzi kiasi kwamba hata usomaji umekua mgumu kutokana na ugumu wa maisha.

Hatuelewi allocation tutawekewa au hatuwekewi kabisa tusimamishe masomo maana uwezo wa kujilipia ada kwa kushitukiza hivi hatuna. Tunaomba bodi kama imeamua kutufutia allocation iseme tu sio kutoa majibu ya kusubiri wakati utekelezaji hakuna. Bungeni linazungumziwa suala la First Year kutopata mkopo lakini hawajui kama kuna shida ata kwa sisi mwaka wa tatu kutopata fedha zetu za kujikimu na allocation kabisa hazisomi.

Hii inaumiza sana. MAMA SAMIA Rais wetu usikie kilio chetu, tunaenda wapi sisi?
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha mipango dodoma main campus nasoma mwaka wa tatu degree nimnufaika wa bodi ya mkopo tangu mwaka wa kwanza nimekumbana na changamoto ya kutowekewa allocation nasio mimi tu tupo wengi sana nampaka dakika hii hatujapata boom niwiki yatatu hii tangu tufungue chuo nasisi niwatoto wa walala hoi tunaishi kwa boom
Pole sana...Kama zilivyo taasisi zingine nyingi za serikali HELSB hii ni jipu maana malalamiko ni kila kona.

Halafu naona una njaa mpaka huwezi hata kuweka vituo, koma, sentensi na aya? Chuo cha Mipango Dodoma ndivyo mnavyoandika hivi?
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha mipango dodoma main campus nasoma mwaka wa tatu degree nimnufaika wa bodi ya mkopo tangu mwaka wa kwanza nimekumbana na changamoto ya kutowekewa allocation nasio mimi tu tupo wengi sana nampaka dakika hii hatujapata boom niwiki yatatu hii tangu tufungue chuo nasisi niwatoto wa walala hoi tunaishi kwa boom wengi wetu tunategemea izo fedha tulipe Kodi,bima nahata ada kwaambao hatuna 100% wenyenyumba wanatudai kodi kula yetu yashida kiukweli inaumiza sana Wana JF ushauri wenu tafadhari nakama kunakiongozi anahusika naswala hili kiukweli huku chuo cha mipango Hali nimbaya kisaikolojia imetuathiri sana wanafunzi kiasi kwamba ata usomaji umekua mgumu kutokana na ugumu wa maisha hatuelewi allocation tutawekewa au hatuwekewi kabisa tusimamishe masomo maana uwezo wakujilipia ada kwakushitukiza hivi hatuna tunaomba bodi kama imeamua kutufutia allocation iseme tu sio kutoa majibu ya kusubiri wakati utekelezaji hakunabungeni linazungumziwa swala la first year kutopata mkopo lakini hawajui kama kunashida ata kwasisi mwaka watatu kutopata fedha zetu za kujikimu na allocation kabisa hazisomi hii inaumiza sana MAMA SAMIA Rais wetu usikie kilio chetu tunaenda wapi sisi
Kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita ukisomweshwa kwa mkopo?

Mikopo imefanya Wanafunzi au wanachuo kuwa walemavu wa kufikiri na kusahau mlikotoka mlisomeshwa na Wazazi au walezi wenu.

Anza kuwaza hili Kwa sasa kwa sababu mikopo mingi mnatokopeshwa na serikali hailipiki au hamko Tayari kuilipa na hamko Tayari kujiongeza mkimaliza chuo kufanya kazi Ili mrejeshe mikopo Usomeshe wengine.

Wasiliana na Wazazi na walezi wako watakulipia Ada na kila kitu Ili Ukimaliza chuo uachane na biashara ya kudai wa mikopo ya Serikali.

Wakati wa kuikopa mnaiita mikopo ila wakati wa kuilipa mnadai mlikopeshwa na madhara yake walioko nyuma yenu wanaanza kuikosa kwa sasa kisa mikopo hailipiki na Serikali imechoka kukopesha mikopo isiyorejeshwa Kila mwaka.

Huu Ndio ukweli mengine ni siasa.
 
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Mipango Dodoma main campus nasoma mwaka wa tatu degree ni mnufaika wa Bodi ya Mikopo, tangu mwaka wa kwanza nimekumbana na changamoto ya kutowekewa allocation na sio mimi tu, tupo wengi sana na mpaka dakika hii hatujapata boom ni wiki ya tatu hii tangu tufungue chuo na sisi ni watoto wa walala hoi tunaishi kwa boom.

Wengi wetu tunategemea hizo fedha tulipe Kodi, bima na hata ada kwa ambao hatuna 100%. Wenye nyumba wanatudai kodi, kula yetu ya shida kiukweli inaumiza sana.

Wana JF, ushauri wenu tafadhali. Na kama kuna kiongozi anahusika na suala hili kiukweli huku Chuo cha Mipango hali ni mbaya; kisaikolojia imetuathiri sana wanafunzi kiasi kwamba hata usomaji umekua mgumu kutokana na ugumu wa maisha.

Hatuelewi allocation tutawekewa au hatuwekewi kabisa tusimamishe masomo maana uwezo wa kujilipia ada kwa kushitukiza hivi hatuna. Tunaomba bodi kama imeamua kutufutia allocation iseme tu sio kutoa majibu ya kusubiri wakati utekelezaji hakuna. Bungeni linazungumziwa suala la First Year kutopata mkopo lakini hawajui kama kuna shida ata kwa sisi mwaka wa tatu kutopata fedha zetu za kujikimu na allocation kabisa hazisomi.

Hii inaumiza sana. MAMA SAMIA Rais wetu usikie kilio chetu, tunaenda wapi sisi?
Kwa huo uandishi heri usipewe huo mkopo, nimeamini kuna vyuo na Chuo cha mipango Dodoma
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha mipango dodoma main campus nasoma mwaka wa tatu degree nimnufaika wa bodi ya mkopo tangu mwaka wa kwanza nimekumbana na changamoto ya kutowekewa allocation nasio mimi tu tupo wengi sana nampaka dakika hii hatujapata boom niwiki yatatu hii tangu tufungue chuo nasisi niwatoto wa walala hoi tunaishi kwa boom wengi wetu tunategemea izo fedha tulipe Kodi,bima nahata ada kwaambao hatuna 100% wenyenyumba wanatudai kodi kula yetu yashida kiukweli inaumiza sana Wana JF ushauri wenu tafadhari nakama kunakiongozi anahusika naswala hili kiukweli huku chuo cha mipango Hali nimbaya kisaikolojia imetuathiri sana wanafunzi kiasi kwamba ata usomaji umekua mgumu kutokana na ugumu wa maisha hatuelewi allocation tutawekewa au hatuwekewi kabisa tusimamishe masomo maana uwezo wakujilipia ada kwakushitukiza hivi hatuna tunaomba bodi kama imeamua kutufutia allocation iseme tu sio kutoa majibu ya kusubiri wakati utekelezaji hakunabungeni linazungumziwa swala la first year kutopata mkopo lakini hawajui kama kunashida ata kwasisi mwaka watatu kutopata fedha zetu za kujikimu na allocation kabisa hazisomi hii inaumiza sana MAMA SAMIA Rais wetu usikie kilio chetu tunaenda wapi sisi

DOGO,
Wasomi wa leo mbona mnapata shida sana kwenye kuandika?
Haya kijana, fanya usahihi kwenye maneno niliyo yakuza mwandiko. Pia unapo andika, ni vyema ukaweka aya (paragraphs).

Habari yako imeunganikana kama gunia, kichwa kimeshikana na tumbo na miguu.

Huwezi kuwa mwandishi mzuri kama hukosolewi.
 
Pole sana...Kama zilivyo taasisi zingine nyingi za serikali HELSB hii ni jipu maana malalamiko ni kila kona.

Halafu naona una njaa mpaka huwezi hata kuweka vituo, koma, sentensi na aya? Chuo cha Mipango Dodoma ndivyo mnavyoandika hivi?
Ila dunia ,umeshasema kuwa Ana njaa pia unamshangaa namna alivyoandika.
Huku hapa kum reward akiandika vizuri ama unapenda tu kuzodoa ,kuwa stress wenzako
 
DOGO,
Wasomi wa leo mbona mnapata shida sana kwenye kuandika?
Haya kijana, fanya usahihi kwenye maneno niliyo yakuza mwandiko. Pia unapo andika, ni vyema ukaweka aya (paragraphs).

Habari yako imeunganikana kama gunia, kichwa kimeshikana na tumbo na miguu.

Huwezi kuwa mwandishi mzuri kama hukosolewi.
ila ujumbe siumefika mkuu
 
Chuo cha mipango Dodoma, baadhi ya kozi haziendani na wakati ni Za kufutwa.

Wakikopeshwa mikopo hawana namna ya kurejesha mikopo hiyo Ili itumike kusomesha wengine .

Kwanini kwa sababu kozi wanazosomea hauziko kwenye Soko la ajira la sasa
 

Attachments

  • 7FBD020F-51FF-444B-9FDA-89AAA418EDD4.jpeg
    7FBD020F-51FF-444B-9FDA-89AAA418EDD4.jpeg
    10.6 KB · Views: 18
Ninaushauri serikali, mikopo ya elimu ya juu iwe inatolewa kupitia diridha maalum la bank ambako serikali itapitishia mikopo hiyo kwa
Masharti kwamba vyeti ya kuhitimiu vitakua na namba ya mkopo kama iliyo registration namba ya mwanachuo.

Wazazi na walezi wawe Sehemu ya mkopo huo kwa kuchangia Sehemu ya mkopo Kila mwaka.

Wale wasiojiweza kulipia Ada na mengineyo wawe wanajitolea Kwenye viwanda na mashamba makubwa kwa pengo la kupata uzoefu wa kazi na Sehemu wanakojilea uweze kuwasaidia Sehemu ya Ada na mengineyo.
 
Kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita ukisomweshwa kwa mkopo?

Mikopo imefanya Wanafunzi au wanachuo kuwa walemavu wa kufikiri na kusahau mlikotoka mlisomeshwa na Wazazi au walezi wenu.

Anza kuwaza hili Kwa sasa kwa sababu mikopo mingi mnatokopeshwa na serikali hailipiki au hamko Tayari kuilipa na hamko Tayari kujiongeza mkimaliza chuo kufanya kazi Ili mrejeshe mikopo Usomeshe wengine.

Wasiliana na Wazazi na walezi wako watakulipia Ada na kila kitu Ili Ukimaliza chuo uachane na biashara ya kudai wa mikopo ya Serikali.

Wakati wa kuikopa mnaiita mikopo ila wakati wa kuilipa mnadai mlikopeshwa na madhara yake walioko nyuma yenu wanaanza kuikosa kwa sasa kisa mikopo hailipiki na Serikali imechoka kukopesha mikopo isiyorejeshwa Kila mwaka.

Huu Ndio ukweli mengine ni siasa.
We unaelewaa hasaa lengo la uwepo wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu hapa nchini?
 
Pole sana...Kama zilivyo taasisi zingine nyingi za serikali HELSB hii ni jipu maana malalamiko ni kila kona.

Halafu naona una njaa mpaka huwezi hata kuweka vituo, koma, sentensi na aya? Chuo cha Mipango Dodoma ndivyo mnavyoandika hivi?
Mkuu kama umeona ana njaa mtupie hata kibuku 5 aishi nacho ili arekebishe mwandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unaelewaa hasaa lengo la uwepo wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu hapa nchini?
Lengo ni kukopesha Ili mikopo irejeshwe na uweze kusomesha wengine.

Sio kukopesha mikopo isiyorejeshwa miaka kumi nenda.

Hakuna elimu ya bure duniani.
Hata mtoto wa maskini lazima atambue hakuna elimu ya bure .

Elimu ni Gharama vinginevyo vinavyoelezwa ni siasa,

Kinyume chake serikali isomeshe watu bure ila ukishaita mkopo ni kitu kingine.
 
Back
Top Bottom