Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Katika Kipindi hiki cha Wanafunzi wa elimu ya juu wakijiandaa na masomo yao na kutegemea mikopo bodi ya mikopo, Ila cha Kushangaza ni kwamba Website ya bodi ya Mikopo imevamiwa na Virus, Tunaomba msaada wa watu wahusika na IT wote wa bodi ya mikopo, tunaomba ushirikiano wenu.