Tetesi: Bodi ya mikopo (HESLB) kuingia mtaani kusaka wanufaika wasiolipa deni lao

JMWAKA

JF-Expert Member
Jun 18, 2012
694
574
Kuna taarifa za kwamba BODI ya MIKOPO inaanza kuingia mtaani.

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu inataka kushirikiana na serikali za mitaa kuwatafuta watu wasio na ajira rasmi na walikuwa wanufaida wa mikopo ili iwadai pesa zao.

Mtu amemaliza Chuo kikuu hela ya vocha tu inamshinda ataweza kulipa deni la Mkopo?
 
Kuna Taarifa za kwamba BODI ya MIKOPO inaanza kuingia mtaani

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu inataka kushirikiana na serikali za mitaa kuwatafuta watu wasio na ajira rasmi na walikuwa wanufaida wa mikopo ili iwadai pesa zao,Mtu amemaliza Chuo kikuu hela ya vocha tu inamshinda ataweza kulipa deni la Mkopo?
Kwani Yale masharti wakati unayasoma,Kuna sehemu waliandika utalipa baada ya kuajiriwa serikalini?
 
IMG_1793.jpg
 
Back
Top Bottom