Jalema
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 593
- 856
Waswahili mnamatatizo sana sijuwi kuna mtu kakushiki bakora kusoma na kukubali
Au nimekugusa ndio maana unalalama
Lowasa aje asome mwenyewe aone kama sijamgusa
Kama ni kweli na unajiamin na ulicho post eb elezea character herufi E na maisha ya lowasa na usiache ata moja