.....Kibo10 kuna fortune teller aliwahi kuniambia hivi lkn mpaka leo nahangaika na mabox wapi.....sijakuwa tajiri bado...sijui nimekosea wapi!HERUFI S
Mwenye jina linaloanzia na herufi S ni mtu mwenye mvuto mkali wa kuleta utajiri. Ni watu wenye maamuzi ya ghafla na hupenda mageuzi makubwa.
Huyu ni ndugu wa yule aliyekuwa akiitwa shekhe yahya miaka ileeee.Si kweli,nimesoma maelezo ya herufi nyingi hapo si kweli labda umetafiti ktk ukoo wenu but IT IS WRONG,VERY WRONG hata erufi ya jina langu umechemka vibaya sijui umetoa wapi idea hizi
Mi yangu ni kweli aisee sema hapo kwa hasira sipo
Hamna lolote. mwandishi ametumia usanii wa kuremba kila herufi.
Ni mtanashati. mchapakazi. mvumilivu. msafi. angetumia negative adjectives kama ni mngese. ni mvivu. sio hodari. ni mal
a.ya. ni mwoga. hana nguvu za kiume. sio rijali n.k asingepata washabiki.
kila binadamu anapenda kusifiwa ndio maana hata binti mwenye sura mbaya ukimsifia tu unakula mzigo. au kijana wa kiume ukitaka kumpumulia msifie sana baadae utaona akilainika na kukupa mzigo.
Huwa siamini katika Ushirikina wala Nyota.
J- anapenda ngono=Jakaya
K- m'bishi=Kikwete
Amepatia nini???Huu ndo ukisikia uchawi uko kama hivi
J. Ila nimeokoka neema ya Mungu huondoa tabia za kimwili