Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,126
- 6,764
Huyu kijana alinishangaza sana, Ndiyo maana haelewani na wakina Mlela, Nilishangaa sana jana, Mpaka watoto walikuwa wanaponda, Majaji walikuwa wanamsapoti fulani na ile style yake ya kuingia na miavuli, lakini niliona ghafla wawili walikunja miavuli yao na kuitupa pembeni wakimwona ni garbage tu.