Hata mimi nimekumbuna na kero hiyo leo asubuhi.Kwa kifupi hii system ni mbovu na ni usumbufu mkubwa na kinachouzi wahusika wamekaa kimya tu kama hakuna tatizo lolote.Imefika wakati watoe tamko au ufafanuzi kwani hata ikifunguka wakati mwingine bado inasumbua.Yaani ina matatizo mengi na inaweza kuja kuathiri baadhi ya watu wasipochukua hatua mapema kabla muda haujaisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.