oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
Hi jf doctor,mimi ni mwanamke mwenye miaka 23,nina sumbuliwa na harufu ukeeni,natkwa na harufu kali sana kiasi kwamba hata watu nilio kaa nao wanaisikia,na nina toa uchafu wa rangi ya usaa hivi,nimetumia antibiotics soaps ila wapi,pia nina mimba ya mwez m1,na tumbo linaniuma sana,je nifanyaje ilinipone?na je hili tatizo laweza haribu mimba yangu?pia ni tatizo gani?naombeni msaada wenu