Baiskeli
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 336
- 61
kwa wanaofahamu naomba msaada, nimekuwa mkandarasi mdogo mdogo kwa muda, bila ya kuwa na kampuni napiga vikazi vya ujenzi wa mashule vijijini, sasa nimeona nimekuwa kimtaji, nahitaji kuwa na kampuni na leseni ili niweze kupata kazi kubwa, sasa kupata leseni ndo sijui nianzie wp? wanajf naamini mtanipa muongozo mzuri.