snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,215
- 1,656
Tuwe wawazi tu
.
Siku zote tuna amka asubuhi hata kumuuliza mwenzio Umeamkaje/
tunashindwa!!
.
Vodacom wanatupatia Sekunde 60 ambayo ni sawa na dakika moja Bure kabisa kuanzia saa 12 - 3 asubuhi
.
Sijui wanatupoza mana wametu pain kweli kwenye kubundi!
.
Siku zote tuna amka asubuhi hata kumuuliza mwenzio Umeamkaje/
tunashindwa!!
.
Vodacom wanatupatia Sekunde 60 ambayo ni sawa na dakika moja Bure kabisa kuanzia saa 12 - 3 asubuhi
.
Sijui wanatupoza mana wametu pain kweli kwenye kubundi!