Mimi nachoka kabisa Preta pembeni na ila nachoka kugeuza shingo nyuma pamepambwa na Lili Flower, Wiselady,Pj.chipkizi yaani watu kibao gari limepambwa na marafiki wa ukweli familia ya upendo hatujali itikadi wala dini ya mtu utadhani tumezaliwa pamoja kuna upendo wa ajabu sana natamani kama tanzania nzima tungekuwa huku muziki wa kutosha vinywaji mwake kwenye gari vitafunwa story mpaka tunapeana zamu kwa kunyoosha vidole kuchangia.
Raha mustarehe jamani
Raha mustarehe jamani