Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Hahaha bado nipo Kapongo Bar&Guesthouse uliponiacha jana!
Sawa sawa kabisa naona upo na mipango ya nje
Hahaha bado nipo Kapongo Bar&Guesthouse uliponiacha jana!
mpendwa umekuwa adimu ghafla wish u were here
Mami hujambo, na wazazi je? Hivi ni macho yangu au umeomba mtindi hapa? Presha inapanda ajabu.
Mimi nachoka kabisa Preta pembeni na ila nachoka kugeuza shingo nyuma pamepambwa na Lili Flower, Wiselady,Pj.chipkizi yaani watu kibao gari limepambwa na marafiki wa ukweli familia ya upendo hatujali itikadi wala dini ya mtu utadhani tumezaliwa pamoja kuna upendo wa ajabu sana natamani kama tanzania nzima tungekuwa huku muziki wa kutosha vinywaji mwake kwenye gari vitafunwa story mpaka tunapeana zamu kwa kunyoosha vidole kuchangia.
Raha mustarehe jamani
acha kwanza niitimize ile'ahadi kitiririko' kwanza kabla sijapromise jengine.hata hivyo nikienda kumsalia Niliham nitarudi na zawadi zangu tu alizonipatia shosti wangu.Ukipitia hapo Abuu Dhabi mm kanzu na barakashia usinisahau
Kwa kweli its interesting we r enjoying ourselves
aminia sana wapendwa,safari njema,pondeni raha maisha yenyewe mafupi haya.
acha kwanza niitimize ile'ahadi kitiririko' kwanza kabla sijapromise jengine.hata hivyo nikienda kumsalia Niliham nitarudi na zawadi zangu tu alizonipatia shosti wangu.
bila hofu naamini hujambo lkn.
Dah mm nipo mzima kabisa
Ngoja tuwaombee hao wa mbugani wasije furumishwa na Simba bure
Sipati picha Wiselady ukitolewa baru na fisi sijui utakimbiaje?
Habarrrrri yako,
Nilikuona Arusha muda mfupi uliopita, imekuwaje umeikosa hii trip?
haikupangwa iwe hivyo lkn ukija jijini usinisahau hata kwa ofa ya maziwa mtindi.
Msisahau kuniletea ulimi wa simba mganga wakienyeji kanituma na macho ya Rhino.
Derimto hebu nichekie mama wa busara hapo nilikupa unilindie
Pls PRETA usikubali kuvaa SHANGA hizo kuna nyingine nzuri zaidi zipo!!!
Nakuja nazo leo nipo na GUTA langu njiani 2tamit huko mida ya jion!!
Petra mbona kimya! haya jamani salimieni Malaria Sugu lol! enjoy the trip!
Safi sana flight yangu imetua nakuja kulinda mali zangu!Kajituliza na wivu wake anatafuta no.2 kwangu lakini hivyo tena mimi nimechoka