Karibu sana, lakini naomba msaada kidogo kutoka kwako, hiyo racmi ni neno linalotumika kuwakilisha kitu gani? je ni mnyama? nakama ni mnyama anakula nyasi au nyama. Nitashukuru sana.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Karibu sana,we ni gamba au gwanda? Weka na misimamo yako kabisa hapa maana unaonekana ni mshabikia siasa, na kama ni mtu wa malove tukupeleke mmu kwa kina lizzy kama ni wa jokes tukukabithi kwa exllent, ila kama gamba tukupeleke kwa rejao,kama cdm tukukabidhi kwa paka jimmy,kama mtoto wa lowasa for presindency2015 tukuitie pasco.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.