smiler705
Member
- Jul 27, 2023
- 26
- 11
Hello guys, habari za humu ndani wana JF.
Mi ni binti, nimemaliza form 6 mwaka huu na namshukuru Mungu nimefauru vizuri, nimepata dv 1 ya point 7 HGL, na niliapply vyuo baadhi na nimechaguliwa vyote including Udsm
Lakini napenda nipate scholarship nisome vyuo vyo nnje hasa nchi za ulaya, Canada au US, sababu ni ndoto yangu kubwa, na hua namuomba Mungu sana, nimefanya application baadhi, lakini kuna vitu nashindwa, naomba mwenye ujuzi wa kunisaidia jinsi kuapply scholerships please help me, naomben mnisaidie tafadhari, ushauri wenu baba, mama, kaka na dada zangu help me please, najua humu ndani watu wanafahamu nambo mengi, thats why naamini sana JF members. Karibunii na natanguliza shukurani.
Mi ni binti, nimemaliza form 6 mwaka huu na namshukuru Mungu nimefauru vizuri, nimepata dv 1 ya point 7 HGL, na niliapply vyuo baadhi na nimechaguliwa vyote including Udsm
Lakini napenda nipate scholarship nisome vyuo vyo nnje hasa nchi za ulaya, Canada au US, sababu ni ndoto yangu kubwa, na hua namuomba Mungu sana, nimefanya application baadhi, lakini kuna vitu nashindwa, naomba mwenye ujuzi wa kunisaidia jinsi kuapply scholerships please help me, naomben mnisaidie tafadhari, ushauri wenu baba, mama, kaka na dada zangu help me please, najua humu ndani watu wanafahamu nambo mengi, thats why naamini sana JF members. Karibunii na natanguliza shukurani.