- Thread starter
- #21
hivi SLAA anataka kutufanya wote wajinga tuamini alishinda uchaguzi! kwani ilikua anatakiwa akubali matokeo ndio tz iwe na amani! kijitu chenyewe hakina mbele wala nyuma umri ule bado ana mchumba!
wacha tabia zako za kijinga na uwe na ustaraabu kwenye kuchangia hoja za msingi