njia panda ya msewe na salasala![/QUHapana ni km kama 40 kutoka Same kama unatokea Moshi
Ni utoto ukikua utaacha. Binadam kweli hatuna utu watu wanatafuta ela ili watumie miili ya wanawake na wanawake wanatumia miili yao ili wApate ela asa nani mwenye kosa sababu wote ni watafutaji ila njia tofauti! Mimi naona heri hao kuliko mafisadi.... SAMAhANi n am on ma way to ISAKa bandari ya nchi kavu!
vijana wanauliza hedalu ni wapi wanataka kwend KUJAZA MAPIPA badala ya hizo ndoo:tongue::biggrin:[/QUOTE
Wewe nawe! Huna siri?
Uzushi tu. . . .
Hizo ndoo ina maana zimewekwa barazani kila mtu anazifuata? Vyumba kujaa ulijuaje na wewe ulishapata?
vijana wanauliza hedalu ni wapi wanataka kwend KUJAZA MAPIPA badala ya hizo ndoo:tongue::biggrin:[/QUOTE
Wewe nawe! Huna siri?
Na we si Mtoboasiri!
Bado upo?
Kulikoni mbona hiyo post inaonesha imetumwa 00:22. Kazi zako ni za mida hiyo....!
Bado upo?
Kulikoni mbona hiyo post inaonesha imetumwa 00:22. Kazi zako ni za mida hiyo....!
Tuseme huna habari kuwa hiyo saa 00.22 ya kwako inaweza kuwa saa 12:22 kwa mwingine?
Wewe kiri tu kuwa ulikopwa. Hilo la kukonda ninajua namna ya kukunepesha
sikopi wala sikopwi.
Ah wapi! Inakuchukua wiki nzima kutafuta jibu! Hata hivyo mimi na Bishanga tunajua ukweli.
Mzima lakini?
heee! Kweli umeamua kuniandama. Poa tu. Mi mzima wa afya, vipi wewe?
Sikuandami. Hata mie mzima. Karibu Hedaru!
mmh! Sitaki kujihatarisha.