Mimi ni dereva wa malori makubwa na mara nyingi nafanya safari za ndani ya mikoa nchini pamoja na ng'ambo.
Wiki jana nilikua napeleka mzigo wa thamani kubwa nchi jirani maeneo ya kaskazini.
Tulipofika Hedaru mida ya saa 8 mchana ilibidi tupumzike kwa ajili ya kupata chakula na ku-retreat. Cha kushangaza mida ya mchana hatukuona watu wengi kivile.
Ilipofika saa kumi na moja jioni tukashangaa kuona watu wa rika mbalimbali mitaani wengi wao wakiwa wa jinsia ya kike. Kadri muda ulivyokuwa unazidi kwenda ndivyo idadi ya watu ilivyokuwa inaongezeka tena safari hii wakiwa katika pair. Usiku sasa ndio ukawa kama mchana. Gesti zote zilikuwa zimejaa. Pale tulipofikia dustbin zote zilikuwa zimejaa mipira iliyotumika, kwa makadirio tu ilikuwa si chini ya ndoo mbili.
Nilijaribu kumwuliza jamaa mmoja mwenyeji wa pale inakuwa hii, jamaa akasema hii ndo Hedaru bwana! Mchana watu wanalala, usiku ni majambozi kwa kwenda mbele.
Nilitamani asubuhi ifike haraka, na kulipokucha tu niliwasha lori niwahishe mzigo wa watu.
Lakini kiukweli: Hedaru inaongoza kwa ngono!
Mkuu kwanini unawasingizia watu wa hedaru, mbona wao wanafanya hivyo usiku tu. Hapa Dar mbona mchana na usiku ni sawa tu?
Oya hiyo sehem ipo wap
Manyoni ndio ilikuwa kiboko, we unashangaa wao kutembea jioni. Manyoni sa 6 mchana ukiingia Guest unawakuta wamekaa reception unachagua.
Karatu ndio ukiingia chumbani tu kulala unagongewa na kuulizwa kwa nini unataka kulala mwenyewe.
Nchi hii ngono ni kila mahali
Heh! Makubwa!Kuna sehemu watu wanatiana/tombana kama TUNDUMA boda ya wajanja? Hedaru hakuna kitu, mambo iko boda ya wajanja bwana!
Wenyeji wa Hedaru kabila gani vile?
nimeshasahau hii hedaru iko njia gani, tukumbushane tafadhali
Hedaru hoyeeeee!
Wenyeji wa Hedaru kabila gani vile?
Wapare ni non kwa ngono mshakaji wangu kamtosa wife alikuwa anatembea na mjomba wake yani mbaya wanakulana hata ndugu kwa ndugu mliooa wapare angalieni sana
Wapare
Teh teh teh Wavathuuuu