hebu tujikumbushe enzi za primary na secondary!

Halafu nimekumbuka hii,kuna mabinti walitupikia pilau siku ya national egzam ya std 7...mama yangu sikuwahi na sijawahi kula pilau tamu kama ile...chezeya watoto wa Tanga
 
Acha tu mwanawane,
Afu unakumbuka mchakamchaka ule wa Alfajiri ya saa 10 na nusu?

Sasa Usiombe siku kupikwe nyama,
mpaka wagonjwa wenye bed rest wanakuja Dinning Room.
Afu sasa Pata picha Hyo nyama iliwe usiku,
M-babe tu ndio unatia mkono kwenye Dish,kama wewe mayaimayai unalala na njaa siku hyo.

duh, me nlikuwa naupenda mchakamchaka cos nilikuwa kinara wa kuimbisha nyimbo za mchakamchaka!
 
mpaka sasa sijaona mtu mwenye sifa ya kuwa kijobu...
Inamaana hapakuwa na watoro kati yenu mliochangia?

We Asprin uliekuwa unachungulia watoto wa kike kwa kioo mstarini je sasa hivi unawachungulia vp?
Au ndio nyie mnaoWeka mawe kwenye madirisha ya gesti kisha watu wakianza kunyonyana ''express your self'' mnapiga kelele ''aaaah uchafu huo''
 
hebu nikumbushe moja mwanangu, maana sijakusikia siku nyingi sana ukiimba

dad hilo tu, .shaka ondoa.
"idd amini akifa akifa mimi siwezi kulia kulia, nitamtupa kagera kagera awe chakula cha mamba cha mamba"
enjoy dad!!!!
 
za asububi wana chit chat,
hebu tujikumbushe enzi za shule ya msingi na sekondari. kuna waliokuwa
- head boy / girl
- monitor / montress
- bibi/bwana afya
- dom leader
- wanariadha
- wapiga ngoma/filimbi
- wacheza ngoma za utamaduni
- wacheza sarakasi
- waimba kwaya
- wacheza mpira (netball / football)
na michezo mingine mingi. je we ulikuwa nani?


:biggrin1: Aisee mi nilikuaga prefect na monitor na mpiga kengele wa kubadilisha vipindi...ilikua raha aisee...maana nilikua naruhusiwa kutoka darasani dakika tano kabla ya kipindi kuisha kwenda kupiga kengele na vile vipindi vilivyokua vinaboa yaani ndio hata dakika 10 kabla nilikua natoka darasani..those were the best days
 
dad hilo tu, .shaka ondoa.
"idd amini akifa akifa mimi siwezi kulia kulia, nitamtupa kagera kagera awe chakula cha mamba cha mamba"
enjoy dad!!!!


Muongezee na hizi

1. Jua lile literemke mama.... aiya iya iya maama
2. wanainama wanainuka. wanaona haya aooo
3. chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi (enzi zetu Rais Mwinyi)
4. Vumilia kidooogo ooooh vumilia kidogo ..........
5. Mchamchaka chinja... aliselema .... alija
6. Sisiemu ninavyokupenda.....
 
:biggrin1: Aisee mi nilikuaga prefect na monitor na mpiga kengele wa kubadilisha vipindi...ilikua raha aisee...maana nilikua naruhusiwa kutoka darasani dakika tano kabla ya kipindi kuisha kwenda kupiga kengele na vile vipindi vilivyokua vinaboa yaani ndio hata dakika 10 kabla nilikua natoka darasani..those were the best days

hahahaha! hongera, bt ulikuwa unafurahia kuwahi kutoka lakin kumbe ulikuwa unamic let say kuna mfano umetolewa sa we c ulikuwa unakupta!
 
Muongezee na hizi

1. Jua lile literemke mama.... aiya iya iya maama
2. wanainama wanainuka. wanaona haya aooo
3. chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi (enzi zetu Rais Mwinyi)
4. Vumilia kidooogo ooooh vumilia kidogo ..........
5. Mchamchaka chinja... aliselema .... alija
6. Sisiemu ninavyokupenda.....

teh teh, meupenda namba 3 na 6 lol!!!!!!
 
mpaka sasa sijaona mtu mwenye sifa ya kuwa kijobu...
Inamaana hapakuwa na watoro kati yenu mliochangia?

We Asprin uliekuwa unachungulia watoto wa kike kwa kioo mstarini je sasa hivi unawachungulia vp?
Au ndio nyie mnaoWeka mawe kwenye madirisha ya gesti kisha watu wakianza kunyonyana ''express your self'' mnapiga kelele ''aaaah uchafu huo''
Hahahaha! Yaani upige kelele wakati ndo kwenye mautamu? Hiyo kitu ukiinyonya lazima demu apagawe. Ngoja nisepe!
 
Nikiwa O.level jumanne na ijumaa tulikuwa tunakula samaki basi mtu saa sita ushapanga foleni tulikuwa tunasukamanaje?
 
Halafu nimekumbuka hii,kuna mabinti walitupikia pilau siku ya national egzam ya std 7...mama yangu sikuwahi na sijawahi kula pilau tamu kama ile...chezeya watoto wa Tanga

ahsante kwa kutupaisha. Tanga twaongoza
 
ahsante kwa kutupaisha. Tanga twaongoza

bado waishi Tanga weye...nimepakumbuka sana TA...siku Mungu akipenda nitaru mitaa yote ya huko Majani Mapana, kwa minchi, Kisosora, Mwakizalo, Duga, Chumbageni lol!
 
Wow,nikikumbuka mimi nilikuwa mtunza funguo za madarasa yote pamoja na ofisi za walimu isipokuwa ya mwalimu mkuu tu,hivyo ilinilazimu kufika shuleni wa kwanza na kutoka wa mwisho na funguo hizo nilikuwa naondoka nazo nyumbani.Basi nilikuwa nikiheshimiwa na kila mmoja ikiwamo walimu wangu kwa heshima na uaminifu niliokuwa nao,basi siku moja akaja mwalimu kuanza kazi na hajui nafasi yangu shuleni,katika adhabu ya darasa akanijumlisha na mimi akanitia viboko,walikoma kesho yake maana niliamkia hospitali najidai mgonjwa na funguo nikaenda nazo hospitali pamoja na yunifomu zangu.Mpaka wanajua nilipokuwa ni saa sita mchana walimu wote na wanafunzi hakuna shule...
 
bado waishi Tanga weye...nimepakumbuka sana TA...siku Mungu akipenda nitaru mitaa yote ya huko Majani Mapana, kwa minchi, Kisosora, Mwakizalo, Duga, Chumbageni lol!

usisahau kupitia sahare dad!
 
charminglady leo umekuwa mkimya sana kipenzi barafu wa moyo wangu, nimepaki gari hapa chini ya ofisi yenu naona uvivu kuja juu huko...si unajua mi muoga wa elevetor. ila uyu mdada wa kudai ushuru wa maegesho kaniboa eti anaomba nimtoe buku baada ya kuona nina free pass ya mwaka mzima hahahhahaha. nakusubiri
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom