idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Ni tofauti na vyupi vya sasa. Vya zamani ulikuwa unavivua ndo uone tak.o lakini vya sasa unapanua tak.o ndo unaona chup.i. LOLEST!!
Babu we mkare duh.!!
Ni tofauti na vyupi vya sasa. Vya zamani ulikuwa unavivua ndo uone tak.o lakini vya sasa unapanua tak.o ndo unaona chup.i. LOLEST!!
charminglady leo umekuwa mkimya sana kipenzi barafu wa moyo wangu, nimepaki gari hapa chini ya ofisi yenu naona uvivu kuja juu huko...si unajua mi muoga wa elevetor. ila uyu mdada wa kudai ushuru wa maegesho kaniboa eti anaomba nimtoe buku baada ya kuona nina free pass ya mwaka mzima hahahhahaha. nakusubiri
7. Kamwambie Banda, ndevu zake Fagio! Enzi hizo kila kitu cha Banda na Amini kilikuwa ni KIBAYA SANA! Nyerere huyo.Muongezee na hizi
1. Jua lile literemke mama.... aiya iya iya maama
2. wanainama wanainuka. wanaona haya aooo
3. chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi (enzi zetu Rais Mwinyi)
4. Vumilia kidooogo ooooh vumilia kidogo ..........
5. Mchamchaka chinja... aliselema .... alija
6. Sisiemu ninavyokupenda.....
hakukuwa na table leader?2ligombania dish la nyama,chuz lilitumwagkia kuanzia kchwan mpaka kwenye viatu,2likua kma sie ndo tumechemshwa!
usisahau kupitia sahare dad!
7. Kamwambie Banda, ndevu zake Fagio! Enzi hizo kila kitu cha Banda na Amini kilikuwa ni KIBAYA SANA! Nyerere huyo.
Madame B hakika ulikuwa mtambo, cjui nikuite mtambo wa nini. vp kuna mwanao ambae ni kachukua utundu wako?
Nakumbuka Assembly kulikuwa na Mwembe dodo ambako HeadMistress hupenda kusimama.
Siku hyo HeadMistress alinitibua kishenzi,
nilichofanya,nilikwenda dukani nikanunua mafuta ya taa ya lita 5,nikakusanya majani makavu nikapanda nayo juu ya mwembe,nikamwagia yale majani makavu mafuta pamoja na sehemu ya juu ya mwembe kisha nikashuka,hyo ilikuwa saa 11 alfajiri.
Ilipofika saa 11 na nusu kama kawa Headmistress akaja pale chini ya mwembe kuhesabisha namba za mchakamchaka,
basi wakati watu wanakimbizana kwenda Assembly me nikatafuta tambara nikaweka jiwe katikati, nikaliwasha moto kisha nikazunguka nyuma ya Ofisi nikalirusha lile tambara juu ya ule mwembe.
Pata picha kilichotokea.
Ilikuwa ni hekaheka maana nilikosea stepu kama pembeni ya ule mwembe kulikuwa na Transfoma,si likashika moto,
Shukuru Mungu halikulipuka.
Ulifanyika msako mkali wa Siku 5 ndo nikaja kugundulika,
Adhabu niliyopewa Sikuisahau mpaka Namaliza Form 4.
Ila sikukoma niliendeleza utundu kama kawa.
Hahahahahahahaha
wangu hapa ulikuwa umepinda zaidi ya upinde!
Yani wangu,
nataka nikuthibitishie kuwa Kuwa nami si kwa Kubahatisha.
Ni Mungu amependa.