Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Hakli Elimu wako wapi? Au nao wameshanunuliwa baada ya kuondoka Rakesh Roshan? Namuomba Dr Slaa asisahau kulizungumza hili kwa kirefu akiwa Mwanza.
Lakini kwa upande mweingine, bila kufanya hivi mikutano ya CCM miaka hii huwa haina mvuto, haina wahudhuriaji. Kuna thread humu ndani inasema CCM ililipa wananch waliohudhuria mkutano wa kampeni kule Jangwani jijini Dar.
Lakini kwa upande mweingine, bila kufanya hivi mikutano ya CCM miaka hii huwa haina mvuto, haina wahudhuriaji. Kuna thread humu ndani inasema CCM ililipa wananch waliohudhuria mkutano wa kampeni kule Jangwani jijini Dar.