Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Akifika Mza kwa kampeni, Dr Slaa atangaze wanafunzi hakuna ruhusa kwenye mikutano yake ya kampeni kote nchi nzima -- na alizungumzie sana hili -- akiunganisha na jinsi shule zetu zilivyoharibika na wanafunzi kukosa maadili mema kwa kutaja sababu kama hizo.
Mimi polepole naanza kuamini kwamba ni kweli CCM imeanza kupoteza umaarufu nchini, kwani inalazimisha hata wanafunzi kujaza wahiudhuriaji wa mikutano yake? Na wakubwa kulipwa mapesa na kupatiwa usafiri? Sioni sababu nyingine kwa CCM kufanya kitu kama hiki!
Mimi polepole naanza kuamini kwamba ni kweli CCM imeanza kupoteza umaarufu nchini, kwani inalazimisha hata wanafunzi kujaza wahiudhuriaji wa mikutano yake? Na wakubwa kulipwa mapesa na kupatiwa usafiri? Sioni sababu nyingine kwa CCM kufanya kitu kama hiki!