mnyalutanana
Member
- Nov 3, 2012
- 55
- 18
Tar 17/11/2012 tulifanya interview pale UDOM ya assistant internal auditor, kulikuwa na nafasi nane, lakin kwenye shortlist wametoa jina la mtu mmoja tu,Kama kulikuwa na nafasi moja wangetuambia kwenye tangazo la nafasi ya kazi au wasinge toshorlist kabisa ili watu tusiunguze nauli zetu. kwa kweli inakera sana.