CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Sijavuta na sivutagi.......nadhani bcoz nakulaga sana supu ya "***** LA NYANI"Umevuta "BANGE"la wapi?au umetoroka milembe?
Sijavuta na sivutagi.......nadhani bcoz nakulaga sana supu ya "***** LA NYANI"Umevuta "BANGE"la wapi?au umetoroka milembe?
50/50 mkuu!mandieta hujalala
Yack!!!!!!!!!!!!!
mmmmmmhhh natamani kutapika kaniharibia siku yangu huyu bwana mdogo ohhhhhhhhhhhhhh
MziziMkavu..
huyu kweli ni njaa tu .. sidhani kama anaiga..
Haya na huku nako sio kuiga jamani? Mambo ya David Cameroon hayoooooooooooo............. duhhhhhhhhhhhhh
mmmmmmhhh natamani kutapika kaniharibia siku yangu huyu bwana mdogo ohhhhhhhhhhhhhh
hata kama babu hii ni sooo.kama huwa mnanyonya uke wenye fangasi na hatushangai kwa nini mshangae mtu anapata protin kwa afya ya mwil wake
Ingekuwa njaa si angekula mbichi? Hamuoni mpaka kawatengeneza rost?MziziMkavu..
huyu kweli ni njaa tu .. sidhani kama anaiga..
@Kaitampunu inaleta Kichefuchefu hii picha mkuu haipendezi huyu jamaa namuhisi ana matatizo ya akili.Ingekuwa njaa si angekula mbichi? Hamuoni mpaka kawatengeneza rost?