NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,737
Nimesikitika sana kuona kijana msomi (Ahmedy Ally) Msemaji wa Simba sc katika mkutano na waandishi wa habari akizungumza maneno ya hovyo Tena yasiyo kuwa na mashiko katika ukuaji wa uchumi.
Serikali inapambana watu wafanye kazi uchumi ukue lakini anatokea mtu mmoja katika Taifa hili kukwamisha juhudi za serikali kwa kuwaambia watu
"ikifika saa sita acha kazi njoo uwanjani na boss asipokupa ruhusa tuambie tutajua namna gani ya kuzungumza nae/kufanya"
NALIA NGWENA natumia jukwaa hili kumuuliza Ahmedy Ally hivi anajua namna gani watu wanavyopambana kupata kazi??
Hivi wewe Ahmedy Ally una akili sawa sawa kweli watu wakifukuzwa kazi/kwa sababu ya Simba au maneno yako ya kujifurahisha Familia zao utazilisha??
Hata Haji Manara alikua Juha pale Simba lakini Akuwahi kuthubutu kutamka maneno ya kijinga Kama haya maneno ambayo Kama watu watayafuata Basi uchumi wa nchi utashuka maana watakua hawana kazi na kutapelekea wimbi la watu tegemezi.
Maoni Yangu: Ahmedy Ally anapaswa kutakari kabla ya kuropoka Wanasimba walitegemea kuwa wamepata kijana smart kiakili baada ya Haji Manara lakini bwana mdogo anakua Juha kumzid Hajji Manara.
MICHEZO ITUMIKE KUHAMASISHA WATU WAFANYE KAZI NA SIYO KUTUMIKA KATIKA KUDIDIMIZA UCHUMI.
Serikali inapambana watu wafanye kazi uchumi ukue lakini anatokea mtu mmoja katika Taifa hili kukwamisha juhudi za serikali kwa kuwaambia watu
"ikifika saa sita acha kazi njoo uwanjani na boss asipokupa ruhusa tuambie tutajua namna gani ya kuzungumza nae/kufanya"
NALIA NGWENA natumia jukwaa hili kumuuliza Ahmedy Ally hivi anajua namna gani watu wanavyopambana kupata kazi??
Hivi wewe Ahmedy Ally una akili sawa sawa kweli watu wakifukuzwa kazi/kwa sababu ya Simba au maneno yako ya kujifurahisha Familia zao utazilisha??
Hata Haji Manara alikua Juha pale Simba lakini Akuwahi kuthubutu kutamka maneno ya kijinga Kama haya maneno ambayo Kama watu watayafuata Basi uchumi wa nchi utashuka maana watakua hawana kazi na kutapelekea wimbi la watu tegemezi.
Maoni Yangu: Ahmedy Ally anapaswa kutakari kabla ya kuropoka Wanasimba walitegemea kuwa wamepata kijana smart kiakili baada ya Haji Manara lakini bwana mdogo anakua Juha kumzid Hajji Manara.
MICHEZO ITUMIKE KUHAMASISHA WATU WAFANYE KAZI NA SIYO KUTUMIKA KATIKA KUDIDIMIZA UCHUMI.