Haya tena watu weusi kwa kuiga? Wanajifanya wachina kula chura kazi ipo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
530114_446379682055492_100000503913445_1672005_220947815_n.jpg


mmmmmmhhh natamani kutapika kaniharibia siku yangu huyu bwana mdogo ohhhhhhhhhhhhhh
 
lazima atakua m bongo huyo maana kwa kuiga maujinga hatujambo!

hao wala vyura kwa nyama za kutosha hakuna jamani
 
lazima atakua m bongo huyo maana kwa kuiga maujinga hatujambo!

hao wala vyura kwa nyama za kutosha hakuna jamani
@mama D yaani sisi Wabongo tunapenda kila kitu kuiga ahhh wacha wee Mama D....... Tutaiga visivyoigwa jamani.............
 
576104_343804802351358_100001655234098_913376_2026972847_n.jpg


Na huyu maisha yamemshinda kaona bora afe kasheshe kweli dunia yetu hii

hivi ni macho yangu yanaona hivi au siku hizi macho yangu yamegeuka kuwa ni vidonda? Huyu jamaa si kajinyonga na chandarua? Kumbe chandarua badala ya kukukinga kinaweza kukuondoa pia duniani eeh?
 
hivi ni macho yangu yanaona hivi au siku hizi macho yangu yamegeuka kuwa ni vidonda? Huyu jamaa si kajinyonga na chandarua? Kumbe chandarua badala ya kukukinga kinaweza kukuondoa pia duniani eeh?
@Young_Master Chandaruwa kinaweza pia kukuwa ikiwa utakitumia kwa nia ingine zaidi ya kukinga na Mbu.
 
Mimi sioni kitu gani cha kuigwa hapo,
Hivyo ni vyakula vya asili ambavyo mababu zetu walikuwa wanakula
na vingine vingi kama,panya,ndege wa porini na mizizi mikavi na isiyo mikavu.
Ila sisi tunakasumba ya kuiga,wanyama wa kufugwa peke yake ndiyo tunaona wanafaa.
Turudi kula vyakula vya asili,tutakuwa na afya njema na hatuta nenepa kama mapipa.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom