MashaJF
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 246
- 119
Thank you very much mkuu.....
This time website iko fasta na vijana wangu wa ilboru hawajaniangusha
But overall bado hatujawa vizuri sana
Tufahamishane namna hizi points na divisions zinavyotolewa. Kuna mahali mtu ana pts 9 ni div I; na pengine ni div III , na pengine pts 8 ni div III.
Mfano halisi angalia matokeo ya Marian Girls.
Mkuu asante sana kwa link hizo maana tangu jana website ya necta ilichakachuliwa na nikaliwa 400/= za sms bila majibu.
Newton Bujiku @ Kibaha sec. Congratulations
Al mujahedeena sec schoolHv shule zipi zilizoongoza?
Tuliosoma IST hatuhusiki na NECTA.....BIG up kwa mashori woote tukutane IFM basi
Al mujahedeena sec school
El adawi muslim seminary
Islamiah tul-imam international school
Quwwat ul islam school
mkuu wa mzumbe si unajua siku hizi leakage ya mitihani haipo kama enzi zenu? Madogo wanaumia kweli yaani hamna leakage hata kidogo huenda leakage ikianza kama enzi zenu watafaulu kama ninyi mkuu!!!