MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 952
- 354
Jocelyne. Hao Makoma unawatolea mfano hawajapona kwenye tuhuma za mtoa mada.Kama nao wanatumia huo mfumo unaolalamikiwa pia wana la kujibu..si ndiyo?kwa hiyo tusitumie mapungufu ya watu wengine kuhalalisha uchafu wetu.kumbuka huuo uwanja wanalipia siyo bure, kuna spika na vipaza sauti wanalipia, kama uwanjani hakuwa umeme kuna mafuta ya jenereta, kuna mapambo ya uwanja yananunuliwa.
halafu kwa soko gani Tanzania la kuza kanda hadi aweze kurudisha gharama zote,
zamani ni zamani, zamani zipi unazoziongelea wewe za pontio pilato au?mbona kina makoma wanakuja huku mnalipa viingilio na wenyewe si wanaimba gospel? kwa ninin wasitumbuize bure.
binadamu anabadilika kutokana na mazingira yake. ndo maana sasa hivi wanapiga modern gospel ili hata wale waliokuwa hawapendi kusikiliza wasikilize.