ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Nimekuwa Nikufuatilia Matamasha Mbali Mbali Ya Muziki Tanzania, Muziki wa Injili hata Ule wa Kizazi Kipya. Ni kiri wazi Kuwa Wapenzi wa haya Matamasha Wamekuwa Hawatendewi Haki kabisa Kabisa Kutokana na Gharama wanazo tumia Kuhudhuria haya Matamasha na Burudani wanayo pewa.
Hakuna Tamasha Tanzania Ambalo limewahi kuwapa watazamaji burudani ile Wanayo itegemea, kuanzia Sound, Mpangilio wa matukio, muda na vitu vingine.
Mfano Mkubwa Ni Tamasha LA MTOKO WA PASAKA lililo Andaliwa na WASAFI MEDIA. Hili ni Tamasha La Nyimbo za Injili Lililo wakutanisha Nguri wa Mziki wa Injili Nchi Tanzania, Malkia Rose Muhando na Christina Shusho. Ni Kiri Kwa Kusema Kuwa Limekuwa Tamasha BOVU, BAYA na La Kufedhehesha Kuliko Matamasha Mengi yaliyo wahi kufanyika Nchini.
Ukiangalia Ukubwa Wa Viingilio, Ukubwa wa Hawa wasanii na Ukubwa waandaji kulinganisha na walichotupatia Basi Niseme Tanzania Hadi sasa Hatuna Waandaaji wa Matamasha Tanzania Wanaoweza Kuandaa Tamasha Usijutie Gharama Ulizo Zitumia. Rose Muhando Alikuwa ni Main Artist na ndio Ana Beba Ukubwa Wa Tamasha La Leo kwa Wingi na Uzuri wa Nyimbo zake, Si Ajabu Kaaingia Na Kaimbia Nyimbo 3 tuuu kati ya Zote Alizo nazo, Baada ya Kutangaza hili Tamasha Kwa Miezi 2 anakuja Anaimba Nyimbo 3 na Masimango juu. Dada Rose Ulikuwa Umelewa? Dada Rose Unataka watu wakusaidiaje Kimaisha? Kama Unapewa Nafasi huwezi kuzitumia? Ina Fedhehesha Sana Na Kuhuzunisha Wengi hasa Ukubwa Wa Kiingilio watu walicho Kitumia.
Tangu Lini Tamasha likawa na Mgeni rasmi? Lengo huwa ni Nini? Tena Mgeni rasmi wa Kisiasa, Waandaji wa Matamasha Lengo Huwa Ni Nini kama Sio Kuharibu Tamasha? Uliwahi kuona wapi mwananchi wa Kawaida analipa Hela (Kiingilio) kwenda Kumuona Mwanasiasa? Tanzania Nchi Yangu ni Lini Wasanii Mtabadirika na Kuanza kufanya Vitu Vizuri?
Binafsi Sijawahi pata shida kwenda Kununua Ticket ili niingie kwenye Tamasha Lolote lile Tanzania kwasababu, Najua nitakuwa Disappointed Na Mambo Ya Kisiasa, Uandaji na Vitu vingine.
Wasafi Media Mmejiabisha Kama ambavyo Huwa Mnajiabisha Siku Zote. Dada Rose Muhando na Christina Shusho Mmeshusha Hadhi zenu kwa kiwango cha Juu kwa Kufanya Tamasha Bovu kuwahi Kutokea Nchini. Ma Mc’s wa Leo ni Wabovu wa hovyo kuliko wote, Nani Alisema Ukiwa Mtangazaji Lazima Uwe Mc? Kutangaza na kuwa Mc ni Vipaji Viwili Tofauti lakini miaka ya Hivi Karibuni Kila Mtangazaji anataka kuwa Mc mwishowe Wanaharibu Shughuli inakuwa Hovyo Kabisa.
Tamasha kama Linafanyika kwa zaidi ya Masaa 10 na Katika Hayo masaa 10 hakuna kinachofanyika zaidi ya Kuongea na Kurekebisha Mic basi Tanzania Hatuna Waandaaji Wa Matamasha. Hili Tamasha Limenikumbusha Ubovu wa Matamasha Mengine yote kuwahi kufanyika Tanzania. Si Wasafi Media, Si Clouds Media, Si EFM hakuna Mbabe wa Kuandaa Tamasha Tanzania. Imagine Katika Masaa 10 Main Artist Anaimba Nyimbo 3 anashushwa Na Mc
Hakuna Tamasha Tanzania Ambalo limewahi kuwapa watazamaji burudani ile Wanayo itegemea, kuanzia Sound, Mpangilio wa matukio, muda na vitu vingine.
Mfano Mkubwa Ni Tamasha LA MTOKO WA PASAKA lililo Andaliwa na WASAFI MEDIA. Hili ni Tamasha La Nyimbo za Injili Lililo wakutanisha Nguri wa Mziki wa Injili Nchi Tanzania, Malkia Rose Muhando na Christina Shusho. Ni Kiri Kwa Kusema Kuwa Limekuwa Tamasha BOVU, BAYA na La Kufedhehesha Kuliko Matamasha Mengi yaliyo wahi kufanyika Nchini.
Ukiangalia Ukubwa Wa Viingilio, Ukubwa wa Hawa wasanii na Ukubwa waandaji kulinganisha na walichotupatia Basi Niseme Tanzania Hadi sasa Hatuna Waandaaji wa Matamasha Tanzania Wanaoweza Kuandaa Tamasha Usijutie Gharama Ulizo Zitumia. Rose Muhando Alikuwa ni Main Artist na ndio Ana Beba Ukubwa Wa Tamasha La Leo kwa Wingi na Uzuri wa Nyimbo zake, Si Ajabu Kaaingia Na Kaimbia Nyimbo 3 tuuu kati ya Zote Alizo nazo, Baada ya Kutangaza hili Tamasha Kwa Miezi 2 anakuja Anaimba Nyimbo 3 na Masimango juu. Dada Rose Ulikuwa Umelewa? Dada Rose Unataka watu wakusaidiaje Kimaisha? Kama Unapewa Nafasi huwezi kuzitumia? Ina Fedhehesha Sana Na Kuhuzunisha Wengi hasa Ukubwa Wa Kiingilio watu walicho Kitumia.
Tangu Lini Tamasha likawa na Mgeni rasmi? Lengo huwa ni Nini? Tena Mgeni rasmi wa Kisiasa, Waandaji wa Matamasha Lengo Huwa Ni Nini kama Sio Kuharibu Tamasha? Uliwahi kuona wapi mwananchi wa Kawaida analipa Hela (Kiingilio) kwenda Kumuona Mwanasiasa? Tanzania Nchi Yangu ni Lini Wasanii Mtabadirika na Kuanza kufanya Vitu Vizuri?
Binafsi Sijawahi pata shida kwenda Kununua Ticket ili niingie kwenye Tamasha Lolote lile Tanzania kwasababu, Najua nitakuwa Disappointed Na Mambo Ya Kisiasa, Uandaji na Vitu vingine.
Wasafi Media Mmejiabisha Kama ambavyo Huwa Mnajiabisha Siku Zote. Dada Rose Muhando na Christina Shusho Mmeshusha Hadhi zenu kwa kiwango cha Juu kwa Kufanya Tamasha Bovu kuwahi Kutokea Nchini. Ma Mc’s wa Leo ni Wabovu wa hovyo kuliko wote, Nani Alisema Ukiwa Mtangazaji Lazima Uwe Mc? Kutangaza na kuwa Mc ni Vipaji Viwili Tofauti lakini miaka ya Hivi Karibuni Kila Mtangazaji anataka kuwa Mc mwishowe Wanaharibu Shughuli inakuwa Hovyo Kabisa.
Tamasha kama Linafanyika kwa zaidi ya Masaa 10 na Katika Hayo masaa 10 hakuna kinachofanyika zaidi ya Kuongea na Kurekebisha Mic basi Tanzania Hatuna Waandaaji Wa Matamasha. Hili Tamasha Limenikumbusha Ubovu wa Matamasha Mengine yote kuwahi kufanyika Tanzania. Si Wasafi Media, Si Clouds Media, Si EFM hakuna Mbabe wa Kuandaa Tamasha Tanzania. Imagine Katika Masaa 10 Main Artist Anaimba Nyimbo 3 anashushwa Na Mc