markach
Senior Member
- Oct 18, 2010
- 121
- 12
Ndugu wana JF, Napenda kuwauliza wenye uzoefu kuhusu magari yanauzwa na TRA kwenye Mnada wao unaofanyika kila tarehe ya mwisho wa mwezi yana ubora gani? Je yanapatikana kwa bei nafuu kidogo au? Yeyote mwenye detailed information anaweza kunisaidia mimi na wengine ambao hawana information