Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 914
- 1,163
Kama hawa wavikaptura sijui vinjunga wananikera balaa
hiyo ya visuruali kuwa vifupi miguuni nikajua wanakwepa vumbi lisichafue kumbe ni fasheni🤔
Wenyewe wanajiona wajanja ila wanaboa kweli.Alafu eti wana teyea kabisa kwa kujiona wapo timam..😎
Ni mchakato wa ukuaji, Ila kwa kata-K nampinga mtoa mada,Ni sehemu ya ukuaji wataacha tu
Siku hizi vijana hawavai Kata-K labda mtaani kwenuKwamba tuwapongeze wakivaa kata k...🤨 siku sijazo sizitavaliwa chini ya goti...🤔
Kwamba tuwapongeze wakivaa kata k...🤨 siku sijazo sizitavaliwa chini ya goti...🤔
Sorry sio ykoPunguza ukali wa maneno basi maana mtandao Kijiji, sikutishi Bali nakuelekeza na ukinielewa itapendeza 🙏🙏
Sorry sio ykoKwamba tuwapongeze wakivaa kata k...🤨 siku sijazo sizitavaliwa chini ya goti...🤔
Mambo ya mjini jamanKila ninapo pita sehem kubwa ya vijana suruali haziwatoshi/zinaanguka. Na vijana wengi wana vyuoni suruali haziwatoshi/zimekua fupi miguuni hata kama ametoka kwa fundi kuishona jana.
Kuna siku niliiona pale Pestana Dodoma majamaa wameshiba na miili imejengeka vyema, wamevaa vipens vifupi hadi juu ya mapaja na vimebana maungo yao hadi maeneo ya kukalia...
Kuna mmoja juzi katoka huko mkoani safi kaingia mjini namuona amevaa vizuri tu, siku ya tatu suruali hazimtoshi zinaanguka tu kiunoni..
Kuna mmoja amekuja juzi akapewa kibarua hapa akapiga kazi safi akachoka kavua shati lake kabaki na suruali kafunga mkanda wake vizuri tu, nilicho kiona leo baada ya kuvua shati eti kafunga kamba ya viatu badala ya mkanda....
Nimemtimulia mbali na kazi hakuna....
Yaani awamu hii imekua na vijana wa hovyo sana....
Asee hamna kitu kinanikera kisuruali njiwa na kimebana Kwa chini halafu hawavai socks such a foolish fashion.. takataka uchafu..fesheni nyingine ziacheni zilivyo jameni...huna Hela ,huna chochote zingine ukivaa Zina shout umasikini wako hasa hii ya kisuruali njiwa bila socks ina watu wake mie nimewaza tu Kwa sauti sijasema bhanaPunguza ukali wa maneno basi maana mtandao Kijiji, sikutishi Bali nakuelekeza na ukinielewa itapendeza
Asee hamna kitu kinanikera kisuruali njiwa na kimebana Kwa chini halafu hawavai socks such a foolish fashion.. takataka uchafu..fesheni nyingine ziacheni zilivyo jameni...huna Hela ,huna chochote zingine ukivaa Zina shout umasikini wako hasa hii ya kisuruali njiwa bila socks ina watu wake mie nimewaza tu Kwa sauti sijasema bhana