Wewe ni Mzee ongea ukweli kuhusu hili mtu mkutane Leo Leo halafu Leo Tena uende nyumbani Kwa huyo mtu ni sawa kweli??😰Nikweli mkuu, hapa kuna wazazi/walezi hawaku timiza wajibu wao. Pia wapo vijana wanaiga kwa kudhania wapo sahihi wanapo acha maungo yao ya siri kwenye hadhira.
Halafu kaacha boxer chafuuu nje...Kila ninapo pita sehem kubwa ya vijana suruali haziwatoshi/zinaanguka. Na vijana wengi wana vyuoni suruali haziwatoshi/zimekua fupi miguuni hata kama ametoka kwa fundi kuishona jana.
Yaani awamu hii imekua na vijana wa hovyo sana.
Mwelekeze usimnyime kazi Kwa sasa maisha Kwa wengi ni magumuNikweli mkuu, kwa mavazi yao inatosha kabisa kuona yupi anafaa kuajiriwa na yupi hafai bado
Ndiyo hiyo inawaharibu.Kampeni ya Upinde imewaathiri mno.
Jamani hata sikujui sijawahi kukuona ai ushimen nitachika humu walahiWewe hapana aiseeee..... ulivyo nikimbia skuzile kisa nimevaa likaptula likubwa, sina ham nawewe kabisa...😂
🤣Nimecheka ghaflaView attachment 2591820
Kwahyo unataka tuvae hivi
Hapana bana siwez vaa hivi kbsa
Mrejezo navaa kiukwel
Kuporomoka kwa maadili ndiyo yanasababisha yote haya.