Haya leo funguka na walugulu

mluguru mmoja aliomba lift kwenye lori bahati mbaya kutokana na ufinyu wa nafasi ikabidi mke akae siti ya mbele mume apande nyuma ya lori kufika mwisho walivyoshuka akaenda kulalamika kwa rafiki yake kobelo akasema mwe yule dereva hana adabu kabisa tulisimamisha motoka mke wangu kamtia mbele mie kantia nyuma waluguru mpooooo
hizo ni hadithi za uongo kabisa
 
Back
Top Bottom