Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
- Thread starter
- #21
Ni vipi tunaposema waende na wakati, tunaweza kuwaelimisha wakaondokana na mila na jadi zao na kuwafanya waendane na mkao wetu tunaodai ni wa kisasa na kimaendeleo?
Mkao gani huo - wa kukaa kwenye nyumba za kifisadi na kuendesha magari ya kifisadi pamoja na kula chakula cha kifisadi kwenye mahoteli ya kifisadi?