Hawataki kuhama: Wamang'ati wajiandaa kupambana na Polisi

Hawa wengineo wabishia kitu hata wasichokielewa, Wana wa Hanang' wameamua kuonyesha ujasiri wapo tayari kuifia ardhi yao, ni upuuzi eti kusema hawapo tayari kushirikiana na wenzao, kama serikali kweli ina nia ya dhati kutatua mgogoro huu, Rais atumie mamlaka yake ya uhawilishaji ahawilishe shamba jingine awapatie jamii ya wakazi waliohamishwa kutoka katika hifadhi ya mlima Hanang' mashamba yapo saba, mawili ndio hayo yamerudishwa kwa wananchi na mizengwe bado yaendelea, sasa kama yapo mengine matano kwanini moja lisihawilishwe wakapewa wakazi wa milimani na la hayo mawili wapambanaji wetu wakaachiwa! au maslahi ya taifa siku hizi ni kodi na uwekezaji tu!
 
Kinachoudhi kwa hawa viongozi wa Serikali badala ya kuwaelimisha wananchi ni kutumia FFU na kuwakamata watu. Wabarbaig huwa hawajali kujitoa muhanga.

Suala la Wabarbaig limekuwa likichukuliwa kwa mzaha hata katika sehemu za Kilosa, Hifadhi za Wanyamapori za Jamii (WMAs) za Wami-Mbiki na Burunge.
Inavyoonekana Serikali haipo tayari kutafuta suluhisho la kudumu.
 
Bila kuchachamaa Tanzania basi hupati haki yako. Na wakizubaa tu mafisadi watachukua eneo lote.

Heko sana wabarbeid kwa kuazimia kulinda Eneo lenu kwani kila mtu anajua TZ kuna maeneo mengi sana , kwanini wasiwapeleke huko waje kwenye eneo lenu?. Huo ni uchokozi wana nia ya kutaka kuangamiza kabila lenu.

SOMO hili ni muhimu kwa Serikali. Lazima kwanza watoe ilmu ya ufugaji bora na matumizi bora ya ardhi. Ilmu ya uraia ni muhimu pia.
 
Kinachoudhi kwa hawa viongozi wa Serikali badala ya kuwaelimisha wananchi ni kutumia FFU na kuwakamata watu. Wabarbaig huwa hawajali kujitoa muhanga.

Suala la Wabarbaig limekuwa likichukuliwa kwa mzaha hata katika sehemu za Kilosa, Hifadhi za Wanyamapori za Jamii (WMAs) za Wami-Mbiki na Burunge.
Inavyoonekana Serikali haipo tayari kutafuta suluhisho la kudumu.

Wambungani:

Unaona sasa, hata sehemu zisizo zao bado mnataka wakae. Kilosa sio kwao na wanaleta vurugu tu kule.

Hiyo sehemu wanayogombania sasa inabidi serikali waizungulushie waya au ukuta halafu wawekwe hupo ndani waendeleze mila zao. Na kwa mpango huu wanaweza kulisaidia taifa na wenyewe kwani kutakuwepo na watalii wanaotaka kuone pre-historic life.
 
JMushi1 hiyo ni tafsiri yangu, nilikuwa natafuta neno la kiswahil na lililonijia ndio hilo la vita ya msituni - utakuwa umenisaidia sana kama utaleta tafsiri rasmi ya 'guerilla war'.

No problem Companero,tafsiri hii ni kwa mujibu wa encyclopedia Britannica through britannica.com,haijatofautiana sana na tafsiri kutoka kwenye sources nyinginezo...

Guerill warfare is a type of warfare fought by irregulars in fast-moving, small-scale actions against orthodox military and police forces and, on occasion, against rival insurgent forces, either independently or in conjunction with a larger political-military strategy. The word guerrilla (the diminutive of Spanish guerra, “war”) stems from the duke of Wellington’s campaigns during the Peninsular War (1808–14), in which Spanish and Portuguese irregulars, or guerrilleros, helped drive the French from the Iberian Peninsula. Over the centuries the practitioners of guerrilla warfare have been called rebels, irregulars, insurgents, partisans, and mercenaries. Frustrated military commanders have consistently damned them as barbarians, savages, terrorists, brigands, outlaws, and bandits
.
 
Hawa ni wanaume kweli kweli! Wako tayari wapigane na risasi kwa mkono wa Mshale. Hiyo ni lugha ya picha kwamba wamechoshwa! Message sent and delivered!
 
Juma Contena na Zakumi tunawajua kuwa ninyi mna chuki binafsi na jamii za wafugaji. Hizi ndio chuki zinazosababisha haya matatizo yote. Mnaona sawa wawekezaji wa jatrofa kupewa ekari zetu laki 6 ila taabu kwa Wabarbaig kubaki na ekari zao elfu 6! Alafu Zakumi unadai waandaliwe eneo la kuwahifadhi wa na jadi zao, sasa hiyo ina tofauti gani na kuwaacha waishi maisha yao ya transhumansi huko Hanang? Ninyi kama mmeshindwa kuishi kwa kufuga na kulima huku endeleeni tu kubeba maboksi huko! Ardhi ni mali ya Umma!

Mkuu

Chuki is a big word labda tuseme hawa jamaa wamezidi na wanatabia za kitoto (every thing is about them) hivyo lazima waelewe Tanzania ni ya wote.

May be hiyo ardhi wangekua wamefanya something useful with it Serikali isingekua inacheza nayo. Im thinking kama wangekua hata basi wamelima on a greater scale, na mazao leo hii jirani zao wanafaidika hata kwa namna ya biashara ungewaurumia fulani hivi.

In short ni kusema labda kungekua na economical benefits kwao kutokana na hiyo ardhi yote labda mtu unaweza ukawa na sympathy nao.

Lakini sidhani hata kama kuna shamba la kijiji huko la kusema tunatumia sijui hao wakabila wote hivyo tunahitaji this scale of land. Utakuta kila mtu anakibustani chake kwa ajili ya familia yake; apart from kuombana cabbage mara moja sasa hawa si ni wa capitalists kama sisi wote.

Hivyo the basics of modern survival wamesha adopt ila tu kujidai. Wao wanamila za kuranda, ni hiyo thinking ndio tatizo lets face it n'gombe hanaishi kwenye zizi bila ya tatizo lolote.

Kwa kuwa hii yote ni kuwadekeza kuranda tu, i think the government is doing the right thing kuchukua ardhi iliyowazi kama ina manufaa mengine na si kwa ajili haya watu wako na upuuzi wao.

We are not living in 1800 but 2010 na huu si muda wa kuranda, particulary when the reasons for kuranda are based on unjustifiable jamii traditions that serves us no gain as a whole, all this just to please some primitive man'gata to roam happily. Hell no its about time we wake them up from their reverie its serves no purpose to them nor the cows by being in the middle of the forest.
 
Ni vipi tunaposema waende na wakati, tunaweza kuwaelimisha wakaondokana na mila na jadi zao na kuwafanya waendane na mkao wetu tunaodai ni wa kisasa na kimaendeleo?

Mkuu

Kwenda na wakati aina maana twende tukawalazimishe suruali au magauni. Au tuwapelekee mativii sijui waangalie cinema kama hawataki hiyo ni fine.

Lakini nikisema kwenda na wakati lazima waelewe mifugo ina belong kwenye zizi at the end of the day. Na lazima waelewe dunia inasogea perception zina change, fine kama wanaona umuhimu wa kukaa na za kwao.

Lakini isiwe at the cost of our land, hivyo yakitokea matumizi mengine yenye umuhimu wajue hiyo luxury yao ya kuranda inabidi iwe compromised.

Hili liwe ni somo la kwanza ambalo inabidi walielewe. kwa kuwa ni wabishi mi nadhani serikali ikichukua hii ardhi safari hii. kwa namna wanayoitaka wao itakua somo kwao. Yes its inhumane kama wataleta ubishi wanao jiandaa nao lakini litakuwa somo kwao who really owns the land.

If it may sound like a barbaric approach, ni kwamba kumbe bwana Companero alishatuwekea post ya hawa watu awali serikali ilijaribu kutafuta wataalamu wa kuwafundisha namna ya kutunza mifugo kisasa na hawakua interested.

Therefore the only to modernize these people is by educating them to respect the laws like the rest of us. Not that the aim is to change their values, but keeping them in touch with facts of life too.

Wakisha jifunza hilo, then kama bado wanapenda kufuga watatafuta namna nyingine ya kutunza hiyo mifugo under the given boundaries.

lakini this is not the time to entertain fussy primitive needs.
 
Acre 6000 sio nyingi kwa wafugaji 300. Jiulize kwanza wana ngombe wangapi hao watu, halafu uliza wataalamu wa mifugo kila ngombe ili afugwe vizuri anahitaji acre ngapi halafu zidisha na hao ng'ombe utapata jibu. Usisahau pi kuwa kuna ongezeko la watu duniani ukiongeza hiyo factor utaona wana haki ya kufanya hivyo.

Hawajasoma lakini wanaakili na ni jasiri, big up kwao, sie acha tulale na kukoroma wakati ardhi inakwenda

Mkuu,

Utani wako mmbaya hekari 20 kwa kila familia kama inatumiwa productively wangekua matajiri hawa wajamaa. Wenzao huwa wanawafungia kwenye mazizi na kuwa fungulia asubuhi kuranda around the given perimeters. Hivyo upata nafasi na kufanya kazi zingine au ku-concentrate na vitu vingine. hawa wanataka ku-consume muda wao na mizoga yao tu day in day out for what?

Kutosoma ndio kuna wafanya wan'gan'ganie desturi zisizo na kichwa wala miguu. Huo msitu wote wao ni kwa ajili ya kuranda tu nothing more. Ndio wameonyesha ujasiri wa kuigwa kwingine lakini si kwa maslahi haya wanayopigania.
 
No problem Companero,tafsiri hii ni kwa mujibu wa encyclopedia Britannica through britannica.com,haijatofautiana sana na tafsiri kutoka kwenye sources nyinginezo....

Mkuu naongelea tafsiri ya 'Guerilla War' kwa Kiswahili maana umehoji tafsiri yangu ya 'Vita vya Msituni'. Maana ya Guerilla War ni suala ambalo Companero mwenzangu Che aliliandika kitabu cha tactics zake na ambalo Makamaradi wenzangu kina Dedan Kimathi waliliishi huko kwenye milima ya Nyandarua hivyo sihitaji maelezo ya ziada. Kinachotokea au kilichotokea Hanang ni kuzuka kwa vita vya aina hiyo ambavyo tukiviachia bila kutatua chanzo cha mgogoro huo basi eneo hilo litakuwa halina tofauti na eneo la Uganda ambalo kina Alice Lakwena walijificha na kupigana guerilla war!
 
Kutosoma ndio kuna wafanya wan'gan'ganie desturi zisizo na kichwa wala miguu. Huo msitu wote wao ni kwa ajili ya kuranda tu nothing more. Ndio wameonyesha ujasiri wa kuigwa kwingine lakini si kwa maslahi haya wanayopigania.

Unatumia kigezo au takwimu gani kusema hawajasoma? Chuki binafsi mbaya sana! Inazaa dhambi ya ubaguzi!
 
Hiyo sehemu wanayogombania sasa inabidi serikali waizungulushie waya au ukuta halafu wawekwe hupo ndani waendeleze mila zao. Na kwa mpango huu wanaweza kulisaidia taifa na wenyewe kwani kutakuwepo na watalii wanaotaka kuone pre-historic life.

Mliberali haya siyo maneno ya Kiliberali - hayaendani kabisa na misingi ya freedom of movement, expression and ownership!
 
Mkuu,

Utani wako mmbaya hekari 20 kwa kila familia kama inatumiwa productively wangekua matajiri hawa wajamaa. Wenzao huwa wanawafungia kwenye mazizi na kuwa fungulia asubuhi kuranda around the given perimeters. Hivyo upata nafasi na kufanya kazi zingine au ku-concentrate na vitu vingine. hawa wanataka ku-consume muda wao na mizoga yao tu day in day out for what?

Kutosoma ndio kuna wafanya wan'gan'ganie desturi zisizo na kichwa wala miguu. Huo msitu wote wao ni kwa ajili ya kuranda tu nothing more. Ndio wameonyesha ujasiri wa kuigwa kwingine lakini si kwa maslahi haya wanayopigania.


Mbona JK na baraza lake lote la mawaziri wamesoma na hakuna maendeleo yoyote Tanzania? Usomi wenu ni upi huo? Nyie mliosoma mbona hatuoni maendeleo yenu badala yake ni kutafuna pesa ya walipa kodi!

Au wale waarabu mliowaweka Loliondo ndio maendeleo? Au kukatika kwa umeme au Kuwapigia magoti kina RA na Sin bin clair ndio maendeleo? Au kuwafukia raia wa Buzwagi ndio mnaita maendeleo?
 
Mkuu naongelea tafsiri ya 'Guerilla War' kwa Kiswahili maana umehoji tafsiri yangu ya 'Vita vya Msituni'. Maana ya Guerilla War ni suala ambalo Companero mwenzangu Che aliliandika kitabu cha tactics zake na ambalo Makamaradi wenzangu kina Dedan Kimathi waliliishi huko kwenye milima ya Nyandarua hivyo sihitaji maelezo ya ziada. Kinachotokea au kilichotokea Hanang ni kuzuka kwa vita vya aina hiyo ambavyo tukiviachia bila kutatua chanzo cha mgogoro huo basi eneo hilo litakuwa halina tofauti na eneo la Uganda ambalo kina Alice Lakwena walijificha na kupigana guerilla war!

Companero,siyo kweli kwamba vita vya msituni lazima viwe guerilla warfare,Definition niliiweka tu ili kuona kama inaweza kuleta any difference kwenye translation yako,kinachofanya guerilla kuwa guerilla ni tactics na si lazima iwe ni msituni,inaweza kuwa urban areas and so forth,insurgents wa Iraki wanatumia guerilla warfare lakini hawako msituni,hata hivyo heading umeibadilisha so tusonge mbele tu na mjadala
 
http://www.roughguides.com/website/...t.aspx?titleid=93&xid=idbox_head60207824_0274


The unremittingly dry expanse of savannah that stretches south of Mount Hanang, the Mang'ati Plains, is at first sight a deeply inhospitable place. Yet the plains are home to some 200,000 Barbaig (or Barabaig), a semi-nomadic, cattle-herding tribe distantly related to the Maasai. The key to their existence in such a barren land lies on the other side of Mount Hanang in the shape of Lake Balangida, a large freshwater expanse at the foot of the Malbadow Escarpment. The lake is fed by the mountain, which ensures that even when the lake is dry (an increasingly common occurrence), the deep wells that have been dug around its periphery still contain enough water for the Barbaig's herds.


Tall, handsome and proud, the Barbaig are at first glance very similar to the Maasai. They dress alike, and are also herders, in whose culture cattle occupy a pivotal place. Like the Maasai, their society is organized into age-sets and a clan system (doshinga) which governs rights over pasture and water sources. But for all their similarities, there's no love lost between the two peoples. The Maasai have two names for the Barbaig. One is Mbulu, by which many other tribes south of the Maasai are also known, and which means "unintelligent people". The other, reserved for the Barbaig alone, is Il-Mang'ati, meaning "the enemy", a simple tag which, coming from East Africa's most feared and warlike people, is almost akin to a compliment. The name Barbaig itself comes from bar (to beat) and baig (sticks), alluding to a unique dance that is still held today, in which fights are mimicked using sticks for weapons.


The Barbaig are one of nineteen tribes that originally made up a broader cluster of people called Datooga (or Tatoga). Like the Maasai and Kalenjin of Kenya, the Datooga are linguistically classed as Nilotic, meaning that they share a common origin, presumed to be in Sudan's Nile Valley. A fascinating relic from this time, which could also explain the extreme ritual importance of cattle in all Nilotic societies, is the Barbaig word for God, Aseeta, which is related to the Kalenjin word Asiis, which also means sun. Both words have their root in the name of the ancient Egyptian goddess Isis, who wore a solar disc and the horns of a cow and was the focus of a cattle and fertility cult throughout much of antiquity. According to Roman mythology – which adopted many Egyptian cults – the beautiful Isis, whom the Romans called Io, was kidnapped by an amorous Jupiter, but her mother, Juno, gave chase. Rather than give her back, Jupiter rather unfairly turned his love into a cow. Not content with this punishment, he called down a bumble bee from the heavens and commanded it to sting the cow. Not terribly enchanted with this treatment, the miserable Io fled to Egypt, where she cried so much that her tears formed the Nile.


The Datooga's southward migration is believed to have started around 3000 years ago, possibly prompted by the massive climate changes that coincided with the expansion of the Sahara Desert. Around 1500, the Datooga arrived at Mount Elgon on the Kenya-Uganda border, where they stayed until the eighteenth century, when they migrated south once more into Tanzania. The Datooga first settled at Ngorongoro before being pushed further south by the Maasai, after which they separated into various tribes, many of which have now been assimilated by others. Lamentably, the Barbaig's southward migration continues even today. Loss of their ranges to commercial ranches, flower farms and seed-bean plantations, and encroachment by Maasai (who have themselves been pushed south in recent decades by the creation of the Serengeti and Tarangire national parks) mean that the Barbaig are among Tanzania's poorest people. Child mortality rates are high, as is the incidence of cattle disease. The fact that none of this used to be the case supports the Barbaig claim that nothing other than the loss of their traditional land has caused these problems, but unfortunately the scattered nature of Barbaig society means that they have largely been absent from politics, and have consequently been marginalized. Their latest efforts to regain access to their land via a series of legal actions in the courts have stalled on the absurd grounds that they lack legally recognized title to the land.


For more information on the problems Barbaig culture faces, see Passions Lost by Charles Lane (Initiatives Publishers, Nairobi, 1996).
 
Companero,siyo kweli kwamba vita vya msituni lazima viwe guerilla warfare,Definition niliiweka tu ili kuona kama inaweza kuleta any difference kwenye translation yako,kinachofanya guerilla kuwa guerilla ni tactics na si lazima iwe ni msituni,inaweza kuwa urban areas and so forth,insurgents wa Iraki wanatumia guerilla warfare lakini hawako msituni,hata hivyo heading umeibadilisha so tusonge mbele tu na mjadala

Ndugu hakuna mtu aliysema kuwa guerilla war iko msituni tu. Sikuwa na neno la Kiswahili ndio maana nikapachika vita ya msituni (guerilla war). Najua kuwa The Battle of Algiers ilikuwa guerilla war na haikuwa msituni. Sina neno la Kiswahili, nikilipata nitalitumia. Maadam hakuna mtu aliyenipatia basi nitaendelea kutumia 'vita vya msituni'. Kichwa cha habari sikukibadilisha mimi. Amebadilisha mzimaji mmoja ambaye hataki kukubali kuwa kuna guerilla war huko Hanang. Ndio yale yale ya kujadili kama vita vya Rwanda ni genocide au sio huku genocide ikiendelea. What was/is happening in Hanang is/was guerilla war - call it whatever you want but it is guerilla war (vita vya msituni)!
 
Katika nchi zote zilizoendelea kuna watu kama hawa. Na solution ni kuwatafutia maeneo hili waendeleze upuuzi wao.

Ukija Marekani kuna reservations kwa ajili ya wahindi wekundu na Maghetto kwa ajili ya watu weusi.

Hivyo proposition yangu ya kuanzisha tribal areas kwa makabila yalioshindwa ku-couple na mabadiliko ni ombi zuri tu kwani sioni hao jamaa wakaweza ku-survive kwa kutumia mikuki na virugu.


Mkuu sijapendezwa kabisa na hapo nilipoweka red....kwa nini unawaona wapuuzi?..je tukianza lingalisha kati yako na wao nani atakua mpuuzi wa kweli unazani?....wanalinda ardhi yao waliyogawiwa na serikali hiyo hiyo inayotaka kuwanyang'anya tena,wanaishi maisha yao mazuri tu ya kimila,kwao mkoloni mweusi na mweupe haingii kamwe.
 
Ndugu hakuna mtu aliysema kuwa guerilla war iko msituni tu. Sikuwa na neno la Kiswahili ndio maana nikapachika vita ya msituni (guerilla war). Najua kuwa The Battle of Algiers ilikuwa guerilla war na haikuwa msituni. Sina neno la Kiswahili, nikilipata nitalitumia. Maadam hakuna mtu aliyenipatia basi nitaendelea kutumia 'vita vya msituni'. Kichwa cha habari sikukibadilisha mimi. Amebadilisha mzimaji mmoja ambaye hataki kukubali kuwa kuna guerilla war huko Hanang. Ndio yale yale ya kujadili kama vita vya Rwanda ni genocide au sio huku genocide ikiendelea. What was/is happening in Hanang is/was guerilla war - call it whatever you want but it is guerilla war (vita vya msituni)
Ni guerilla warfare iliyo happen huko kwenye maeneo ama misitu ya wabarbaig?Ama umeiita guerilla war kwasababu ya msitu?
Halafu kwenye habari hiyo mbona sijaona pahala popote kikundi ama mtu yeyote amefanya shambulizi la kushtukiza?Ama kuna dalili kwamba guerilla warfare ita happen?Ndio maana nikasema labda hakuna qualifications za kuiita "Guerilla warfare" at least not yet,na hii ni kwa mujibu wa habari kwenye bandiko lako la kwanza kuhusiana na mgogoro huo unaouita "guerilla war(vita vya msituni)" No wonder wamebadili heading.
 
Ndugu hakuna mtu aliysema kuwa guerilla war iko msituni tu. Sikuwa na neno la Kiswahili ndio maana nikapachika vita ya msituni (guerilla war). Najua kuwa The Battle of Algiers ilikuwa guerilla war na haikuwa msituni. Sina neno la Kiswahili, nikilipata nitalitumia. Maadam hakuna mtu aliyenipatia basi nitaendelea kutumia 'vita vya msituni'.

Preciseness preciseness preciseness....
 
JMushi1 wenzako hatutegemei taarifa za magazeti tu. Nachojua ni kuwa kulikuwa na guerilla war huko na sidhani kama imeisha. Kuna makorongo, misitu, milima n.k. Haya basi ngoja niseme vita vya milimani, makorongoni na misituni (guerilla war) vyazuka!
 
Back
Top Bottom