palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
jamani ndoa ngumu sana mtu asikwambie ongea tu kama hujaoa au kuolewa. kuna watu nawafahamu wamewekewa sumu na wake zao wakanusurika kufa lakini wanasameheana na mpaka leo wanaishi tena mapenzi motomoto sembuse kupigana kibuti?
"It is better to live with a devil whom you know than a angel you dont know"
"It is better to live with a devil whom you know than a angel you dont know"