Hawara aliyempiga kibuti aukwaa u-Jaji... Kidume ajipanga upya!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Kuna njemba m'moja wa karibu kanitonya leo hii asubuhi ya kuwa anajipanga upya kurejesha majeshi..........kwa mzazi mwenzie ambaye ana karibu miaka 5 tangia ampige kibuti..................utetezi wake ni kuwa hawakuachana kwa ubaya na yakuwa mwenzie sasa huo ugali wa ujaji ni mkubwa sana haipendezi akiula pekee yake......................

Jiingine adai ni sababu za kiubinadamu nazo zimemkalia kooni kwa kipindi hivi ya kuwa mwenzie amekuwa akimlilia kwenye simu kila siku ya kuwa aache kumnyanyasa kwa kumpiga kibuti kwa hiyo kumrudia atakuwa kaitika wito na......kumtendea ubinadamu aache kuwa na masimango ambayo kidume anahisi yanamletea tafurani hata yeye.........

lingine anadai haifai jaji aonekane ni kapera wakati mzazi mwenzie yupo ila ni harakati za pimbi tu ndizo zilimtia majaribuni........................

hii ni sahihi kweli???????????...............kurudia matapishi yako mwenyewe eti mkate umewiva na tumbo lina wakawaka kwa njaa....................sina uhakika kwenye hilo............Nisaidieni namna ya kumshauri kidume mwenye macheche nguli.......
 
Namshangaa huyo mdada kwa nini anarudia matapishi..........khaaa miaka mitano bado amehifadhi mtu kwenye box la moyo wake tu. Ahii mwambie huyo dada aache upuuzi bwana, afanye kazi kwa bidii amlee mwanae. Atampata mwenye kuheshimu PENZI lake asirudie matapishi.
 
Haya ndo yale nilisema hapa kuwa,jamii ina makengeza kwenye baadhi ya mambo.Ili upate cheo fulani ni lazima uwe na ndoa.Ujinga mkubwa huu.Ndoa ni nini?Eti unapokua na mke unakua na heshima na unajiheshimu,ujinga mwingine huu.Upofu huu sijui utaisha lini?
 
We move in circles and at some point we tend to intersect. Ndo maisha yetu chini ya jua yanavyotusukuma.
 
Sawa tu, ikiwa mungu anasamehe kwanini sisi tusisameheane. Zimwi likujualo halikuli likakwisha, huyo itakuwa pia watoto wa mjini walishamuweza akaona bora arudie old is gold. Mimi sioni shida endapo wenyewe wameridhiana!
 
Namshangaa huyo mdada kwa nini anarudia matapishi..........khaaa miaka mitano bado amehifadhi mtu kwenye box la moyo wake tu. Ahii mwambie huyo dada aache upuuzi bwana, afanye kazi kwa bidii amlee mwanae. Atampata mwenye kuheshimu PENZI lake asirudie matapishi.

[MENTION]LD[/MENTION] labda anaangalia masilahi ya mtoto/watoto wapate malezi ya baba pia kwa hiyo yeye anajitoa kafara kwa hilo.............
 
Haya ndo yale nilisema hapa kuwa,jamii ina makengeza kwenye baadhi ya mambo.Ili upate cheo fulani ni lazima uwe na ndoa.Ujinga mkubwa huu.Ndoa ni nini?Eti unapokua na mke unakua na heshima na unajiheshimu,ujinga mwingine huu.Upofu huu sijui utaisha lini?
Ndoa lazima mkuu, jamii inachukulia ndoa kama kipimo cha kupevuka kimaamuzi na kiuwajibikaji..mtu mwenye ndoa kutokana na mtazamo wa jamii na kwa kiasi kikubwa anauwezo wa kutoa maamuzi sahihi zaidi kukabiliana na situation fulani kuliko mtu ambae hana ndoa..na ikumbukwe kuwa ndoa ndio msingi wa taifa bora..kama ndoa ni bora basi kiongozi pia anakuwa katika state of mind nzuri ya kulitumikia taifa..kama huna ndoa..jamii inakuona mwingi na mara nyingi huwa hivyo...na irresponsible..hakuna jamii inaweza kukupa jukumu la uongozi kama huna ndoa...hata huko mbele wanaangalia hili jambo pia..kwa jamii nyingi za kiafrika huwezi simama katika vikao vya familia na kusikilizwa kama huna ndoa hata kama una umri wa miaka 70..bado unaonekana mtoto..lakini ukiwa na 20 na una mke basi ushauri wako pia unazingatiwa...kwahiyo no matter what ndoa ina nafasi kubwa sana katika role ya uongozi na mambo mengine..
 
Duh baada ya mambo kuwa mswano....jamaa anataka kurudisha jeshi vitani kweli hii dunia wakati anasaga rami pekee.......jamaa na vishtobe wengine!!No way!!
 
Sawa tu, ikiwa mungu anasamehe kwanini sisi tusisameheane. Zimwi likujualo halikuli likakwisha, huyo itakuwa pia watoto wa mjini walishamuweza akaona bora arudie old is gold. Mimi sioni shida endapo wenyewe wameridhiana!

MadameX huoni huyo kidume is a mere gold digger?
 
huyo dada akumrudia huyo mwanaume , nitamwona wa ajabu sana....

ila kwa huyo mwanaume kutaka kurudi kwa bi-jaji haishangazi ndo wanaume wa siku hizi walivyo....wapo after money, pesa, mpunga, njurugu, ngawira, kaduguda.................

swali kwa mwanaume: ana uhakika atapata hizo pesa anazotaka kumchuna bi-jaji?
:flame:
 
Kuna njemba m'moja wa karibu kanitonya leo hii asubuhi ya kuwa anajipanga upya kurejesha majeshi..........kwa mzazi mwenzie ambaye ana karibu miaka 5 tangia ampige kibuti..................utetezi wake ni kuwa hawakuachana kwa ubaya na yakuwa mwenzie sasa huo ugali wa ujaji ni mkubwa sana haipendezi akiula pekee yake......................

Jiingine adai ni sababu za kiubinadamu nazo zimemkalia kooni kwa kipindi hivi ya kuwa mwenzie amekuwa akimlilia kwenye simu kila siku ya kuwa aache kumnyanyasa kwa kumpiga kibuti kwa hiyo kumrudia atakuwa kaitika wito na......kumtendea ubinadamu aache kuwa na masimango ambayo kidume anahisi yanamletea tafurani hata yeye.........

lingine anadai haifai jaji aonekane ni kapera wakati mzazi mwenzie yupo ila ni harakati za pimbi tu ndizo zilimtia majaribuni........................

hii ni sahihi kweli???????????...............kurudia matapishi yako mwenyewe eti mkate umewiva na tumbo lina wakawaka kwa njaa....................sina uhakika kwenye hilo............Nisaidieni namna ya kumshauri kidume mwenye macheche nguli.......

Kiongozi hapo kwenye bold, inaonekana kinachomrudisha huyo jamaa si mapenzi ya kweli kwa mtalaka wake bali hiyo njaa yake na hiko cheo kipya cha ujaji alichokipata huyo mpenziwe wa zamani.

Kwa kutumia akili ya kawaida kabisa, inaonekana hata kama wakirudiana inawezekana kabisa wakatengana tena maana sababu za msingi zilizofanya wapigane vibuti hazijatatuliwa na pia kinachowaunganisha kwa sasa si upendo ila ni cheo cha ujaji na umaskini wa huyo mpiga kibuti na njaa zake!

Ingekuwa ni busara huyo mpiga kibuti asishadadie cheo cha mtalaka wake na kuendeshwa na njaa zake bali atumie nafasi yake ya kufanya kazi kwa bidii na ajipatie kipato kwa jasho lake mwenyewe badala ya kugeuka mwanaume kama binti ili kulinda hadhi na heshima yake kama mwanaume rijali na pia kusimamia misimamo na maamuzi yake binafsi!
 
Haya ndo yale nilisema hapa kuwa,jamii ina makengeza kwenye baadhi ya mambo.Ili upate cheo fulani ni lazima uwe na ndoa.Ujinga mkubwa huu.Ndoa ni nini?Eti unapokua na mke unakua na heshima na unajiheshimu,ujinga mwingine huu.Upofu huu sijui utaisha lini?

Eiyer labda kuna sababu kuwa kasi ya kuhangaika itapungua ukiwa na mwenzio mnalala kitanda kimoja usiku kucha......bial ya mapumziko
 
Last edited by a moderator:
Kiongozi hapo kwenye bold, inaonekana kinachomrudisha huyo jamaa si mapenzi ya kweli kwa mtalaka wake bali hiyo njaa yake na hiko cheo kipya cha ujaji alichokipata huyo mpenziwe wa zamani.

Kwa kutumia akili ya kawaida kabisa, inaonekana hata kama wakirudiana inawezekana kabisa wakatengana tena maana sababu za msingi zilizofanya wapigane vibuti hazijatatuliwa na pia kinachowaunganisha kwa sasa si upendo ila ni cheo cha ujaji na umaskini wa huyo mpiga kibuti na njaa zake!

Ingekuwa ni busara huyo mpiga kibuti asishadadie cheo cha mtalaka wake na kuendeshwa na njaa zake bali atumie nafasi yake ya kufanya kazi kwa bidii na ajipatie kipato kwa jasho lake mwenyewe badala ya kugeuka mwanaume kama binti ili kulinda hadhi na heshima yake kama mwanaume rijali na pia kusimamia misimamo na maamuzi yake binafsi!

HorsePower wakati mwingine njaa inakupa nidhamu hata kama ni ya uwoga.........kidume nionavyo safari akishikwa atashikamana maana khali yake haitii matumaini hata chembe
 
Last edited by a moderator:
wanaume wapenda slope! nowdays ni wengi mno! its a shame kwa kweli, yaani umrudie mtu kisa tu kapandishwa cheo na moola imeongezeka, in maana akishushwa cheo atamkimbia???? NO WAY NOT ME KWA KWELI!
 
huyo dada akumrudia huyo mwanaume , nitamwona wa ajabu sana....

ila kwa huyo mwanaume kutaka kurudi kwa bi-jaji haishangazi ndo wanaume wa siku hizi walivyo....wapo after money, pesa, mpunga, njurugu, ngawira, kaduguda.................

swali kwa mwanaume: ana uhakika atapata hizo pesa anazotaka kumchuna bi-jaji?
:flame:

BADILI TABIA Bi jaji alivyokufa kwa kidume unafikiri ugali atamnyima kama siyo kumkabidhi waote aupangie matumizi aonavyo ili mradi kidume amkubali tu?
 
Last edited by a moderator:
Ndoa lazima mkuu, jamii inachukulia ndoa kama kipimo cha kupevuka kimaamuzi na kiuwajibikaji..mtu mwenye ndoa kutokana na mtazamo wa jamii na kwa kiasi kikubwa anauwezo wa kutoa maamuzi sahihi zaidi kukabiliana na situation fulani kuliko mtu ambae hana ndoa..na ikumbukwe kuwa ndoa ndio msingi wa taifa bora..kama ndoa ni bora basi kiongozi pia anakuwa katika state of mind nzuri ya kulitumikia taifa..kama huna ndoa..jamii inakuona mwingi na mara nyingi huwa hivyo...na irresponsible..hakuna jamii inaweza kukupa jukumu la uongozi kama huna ndoa...hata huko mbele wanaangalia hili jambo pia..kwa jamii nyingi za kiafrika huwezi simama katika vikao vya familia na kusikilizwa kama huna ndoa hata kama una umri wa miaka 70..bado unaonekana mtoto..lakini ukiwa na 20 na una mke basi ushauri wako pia unazingatiwa...kwahiyo no matter what ndoa ina nafasi kubwa sana katika role ya uongozi na mambo mengine..

Unarudia kuzungumzia mtazamo wa jamii ambao ni wa hovyo.Niambie namna ndoa inampa mtu hekima,busara,kujiamini,kujitambua n.k..Halafu uniambie kama hayo hayapatikani nje ya ndoa!
 
wanaume wapenda slope! nowdays ni wengi mno! its a shame kwa kweli, yaani umrudie mtu kisa tu kapandishwa cheo na moola imeongezeka, in maana akishushwa cheo atamkimbia???? NO WAY NOT ME KWA KWELI!

cacico usiseme hivyo kama angelikuwa ni mzazi mwenzio na kazi ya kulea watoto hata kuwapeleka shuleni na kudhibiti nidhamu nyumbani na ukijumlisha na heshima ndani ya jamii basi utajikuta umejisalimisha na yote yafikie tamati................lol
 
Last edited by a moderator:
Unarudia kuzungumzia mtazamo wa jamii ambao ni wa hovyo.Niambie namna ndoa inampa mtu hekima,busara,kujiamini,kujita mbua n.k..Halafu uniambie kama hayo hayapatikani nje ya ndoa!

Eiyer usisahau.........."Mapenzi ni kikohozi hayawezi kufibhika."
 
Last edited by a moderator:
Unarudia kuzungumzia mtazamo wa jamii ambao ni wa hovyo.Niambie namna ndoa inampa mtu hekima,busara,kujiamini,kujita mbua n.k..Halafu uniambie kama hayo hayapatikani nje ya ndoa!

Eiyer usisahau.........."Mapenzi ni kikohozi hayawezi kufibhika."
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom