Huyu jamaa amepiga harakat sana na ana uhakika atachukua!
Tuwe wa kweli kabisa leo ccm inalia pale mwanga kwa juhudi za chadema chini ya kileo kutaka kuwakomboa wanamwanga. Hakuna wa kumzuia kileo licha ya hila ambazo zimeanzwa kutengenezwa juu yake.
Kwasasa hela inatembea mwanga mbaya kuwagawa viongozi wa cdm ili ccm ipone, kwaninavyo mjua kileo ccm inajidanganya na timu yake maana inazidi kumjenga na kumuimarisha.