Napendelea hawa:
Esta Balaya Bunda
Halima Mdee kawe
Tundu Lisu huko kwao
Filikunjombe huko kwao
Kange Lugora Mwibara
Mnyaa huko kwao
na wafuatao wasirudi
Jenista Mhagama
Hawa Ghasia
Anna Kilango Malecela
Mary Nagu
Na wabunge wanawake wenye kazi ya wakishangilia tu
Sio kirahisi namna hiyo. Maajabu yanaweza kutokea na wakaangukia pua.
Mkosamali akikosekana bunge litakuwa kama mboga isiyo na chumvi.Kwa Kuongezea nazan umemsahau Kafulila mkuu!
Napendelea hawa:
Esta Balaya Bunda
Halima Mdee kawe
Tundu Lisu huko kwao
Filikunjombe huko kwao
Kange Lugora Mwibara
Mnyaa huko kwao
na wafuatao wasirudi
Jenista Mhagama
Hawa Ghasia
Anna Kilango Malecela
Mary Nagu
Na wabunge wanawake wenye kazi ya wakishangilia tu
Dr. Fenela Mkangala naye kaonyesha nia.Du Jimbo la Ubungo linapiganiwa sana Mkuu..
Zitto kabwe-ubungo
Du Jimbo la Ubungo linapiganiwa sana Mkuu..
Kwa Maoni yangu nazan hawa Watatinga Bungeni Baada ya Uchaguzi wa October mwaka huu..
Prof Jay-Mikumi
Henry Kilewo-Mwanga
James Mbatia-Vunjo
Ongezea wengne ambao kwa maon yako unahisi watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu!