Hawa wake za viongozi waliotoa msaada Hanang ni taasisi? Imesajiliwa lini na chanzo chake cha mapato ni kipi?

Mpaka leo mmekusanya shilingi ngapi kupitia kale kanamba kenu muliko weka pamoja na picha ya Mbowe kama ndiye mhanga mwenyewe?
chadema-png.2834769
 
Back
Top Bottom