Wewe unapewa ban sasa hivimnajipendekeza kwa mods ili msipewe ban au?
charminglady
yani umeukataa uke wenza kwa lipi ulilokosa mpaka ukakimbia jamani lol!
charminglady hata ungeondoka nacho mm ningelea tu mtoto tena napenda sana watoto salimia sana platozoom
Uhuuuu.........kupendwa raha jamani ..urodaa urodaa
platozoom na ole wako umuumize charminglady am watching u..
Mmemaliza kuongea?
bado unataka uanze kuwavuruga?