RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,745
- 107,899
Jamani nakumbuka wakati niko teenager nilikuwa natoka na dada wa rafiki wangu kipenzi,it was awkward lakini nilikuwa nampenda dada yake vibaya sana.tulikuwa tukifanya siri,kwa kweli ni yeye tu alikuwa hajui kila mtu mtaani alikuwa anajua nini kinaendelea,kama kawaida mwisho wa siku alijua,namsifu na kumheshimu jamaa kwani hakuwa na kinyongo na urafiki wetu uliendelea as if nothing happened.....je wewe ushawahi kutembea na dada wa rafiki yako? au madada wa jf mshawahi kutoka na rafiki wa kaka zenu....?