Have You Ever.......

...hapo kwenye wekundu.

Nilijifunza kumbe NO means NO bana.
Iliniuma lakini 3yrs zilinitosha kuyajua machungu
ya kupenda pasipo penzi.

Siwezi kumsahau alivyonitenda...(the way she made me feel!)
kuna majanga eehh...pole
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Lizzy sweetheart, i think i once said this to you and probably i might have said more than once

Love is giving, not receiving!!!

MJ1 is giving her love, unfortunately the love might have not been received as expected (I am just assuming).... I do believe it is only through giving that one will enjoy love coz we are alway proud of what we share/give and not what we receive, it is a law of nature unless one is unnaturally selfish, which is unfortunate. if you have read the tend of people sharing their past experience, or even the songs pasted in this thread zote zina melekeo huo... GIVING

Personally, I never want to receive love, all i want is to give.... and it is through giving, then we can share something in return

nilivyomuelewa mimi MJ1, ni kwamba she has lots of love to give but it is not reaching the last mile, and somehow she wishes to detach that love,.... who knows, probably the way she give it is the problem (labda huyo jamaa hajui, au kabanwa na hawezi kutoka huko alipo au hata kushare) and this has only two approaches, kusema usikike na kufanya yaonekane, au ku-detach

WHEN GIVING LOVE, DONT MIND THE FUTURE TEARS COZ THAT WILL IMPEDE YOUR GIVING AND IT WILL BE AS COLD AS ICE

.....SORRY BUT I HAVE TO SAY THIS, WANAHARAKATI WENGI, WANA VERY COLD LOVE COZ TO THEM IT IS LIVE BUSINESS AND BOOKS HAVE TO BALANCE, IN THE END EVERYTHING BECOMES A BORE

MTM you must be from another planet darling huko ambako watu wenye mioyo ya aina hii wanaishi ambao tunawatamani sana na huku kwetu hawapatikani..Are you already taken??
ninasema hivyo kwa sababu kama mtu wa aina hii akikutana na mwenzake wa aina hii you can imagine the kind of love itakayozaliwa hapa.

I just ask myself is it a reality here or nowdays MTM, yaani mtu apende tu, atoe tu, ajali tu without receiving back?? Really?
i think most of chaos we experience within relationships zinatokana na kukosekana kwa reciprocity in terms of being loved back, respected back, kujaliwa kama unavyomjali n.k. n.k.

What you have written about MJ1 here is true and I cant agree less with what you say about wanaharakati................... I think I am one of them I get hurt sana pale ninapomjali mtu, penda mtu asinijali, penda back and I believe I am not the only one. May be I expect a lot too much from love relationships and thus making it a business lol
 
dears
am just asking

have you ever love someone, i mean really love her/him............... Only to face the truth that that person can not be with you because may be s/he is already taken/ belong to someone else?

how do you deattach yourself with that feeling................... What do you do/can someone do??

ntaumia sana sana, lakin ntakuwa sina jinsi zaid ya kuyavumilia hayo,
maumivu halafu na kuendelea na maisha.
Ila siyo jambo rahisi kuvumilia kama hivi ninavyoandika hapa,
ni kazi ngumu kweli kweli na inayoumiza na kuyumbisha maisha kwa ujumla,
na hasa kama haujapa msaada wa faraja wa karibu toka kwa ndugu/rafiki,
wanaojua maumivu ya kuachwa/kumwacha mpenzi umpendaye.

kuachwa na mpenzi unayempenda kunauma sana na zaidi ya sana,
ila ni lazima ukubali matokea na maisha yaendelee .
 
ah ah ah I shud red btw lines eeeeh?tatizo ni moja tu,kama uko tayari kuchezewa na kupotezewa mda unakaribishwa maana na mm nataka ku revenge kwa ma hurt brokers wote!
So i am more than welcome angalia tu hiyo mission yako isije ika backfire and then you find yourself not SINGO again
 
Now I don't wanna lose you,
but I don't wanna use you
just to have somebody by my side
And I don't wanna hate you
I don't wanna take you
But I don't wanna be the one to cry
That don't really matter to anyone, anymore
But like a fool I keep losing my place
And I keep seeing you walk through that door

But there's a danger in loving somebody too much
And its sad when you know its your heart you can't trust
There's a reason why people don't stay where they are
Baby sometimes love just ain't enough

So i am more than welcome angalia tu hiyo mission yako isije ika backfire and then you find yourself not SINGO again
 
Now I don't wanna lose you,
but I don't wanna use you
just to have somebody by my side
And I don't wanna hate you
I don't wanna take you
But I don't wanna be the one to cry
That don't really matter to anyone, anymore
But like a fool I keep losing my place
And I keep seeing you walk through that door

But there's a danger in loving somebody too much
And its sad when you know its your heart you can't trust
There's a reason why people don't stay where they are
Baby sometimes love just ain't enough
My eyes only saw those words
 
Hapa si aliyeyagundua, bali aliyeyaingia alikuwa anawaza nini?.... Babu yangu aliwahi kuniambia.......Ni bora usikutane na umpendaye kuliko ukutane naye halafu umkose.........[/QUOTE]

NILIPOSOMA HAPO PENYE RED NA BLUE NIMEJIKUTA MACHOZI ,
YANANITOKA PASIPOKUTARAJIA.......aah kupenda na kukosa
kunauma sana jamani.................kwa nini tunapenda,
HIVI HAKUNA DAWA YA KUTOPENDA?,
Hapa naongelea dawa ya kutompenda mpenzi/mume tu.

ILA upendo kwa watoto wetu/familia/ndugu/jamaa na rafiki zetu uendelee kuwepo.
 
Aksante Lizzy mamii sometimes nafikiri huwa si rahisi ukijifumbisha macho peke yako unless muhusika naye akusaidie. Lakini unapojitahidi kuyafumba na ukianza kusahau kidogo then bam naye anavuta kamba for a while unapata tena hopes.



Lizzy aksante kwa ushauri huu .........so hapa unamaanisha hakuna haja ya kujaribu kutrigger wala kujaribu kufight for what you feel because you will be fighting a lost battle............. okay what if baadae ukajagundua kuwa hukujaribu enough to drive your point home ...ukasonga mbele only to find that kumbe naye alikuwa na tr5ue feelings au akakufuata sasa na kukuomba umpe kile alichoshindwa kudare kuomba hapo kabla??




Sometimes analia and then anazimika for a while..........akiona unaanza kusonga mbele s/he cries tena na kuamsha tena hisia zako. It is like hataki feelings zako kwake zife and yet hana couradge ya kuzipokea, nurture na kuzihifadhi kwa manufaa na faida yenu wote.
My dear huyo mtu wa kukusukuma na kukuvuta kila anapojisikia kwakweli sidhani kama anakua anakupenda.....zaidi ya kutaka kukutumia kwa mahitaji yake.Na hata kama anakupenda atakua ni mbinafsi sana kukuacha umlilie alafu ukishafuta machozi yako anakuja tena kwako akijua kabisa ‘he/she can not stay with you‘.

Kitendo tu cha yeye kuchokonoa kidonda kilichopona au kinachokaribia kupona kinaonyesha kwamba atakua hajali mwisho wako utakua vipi bali leo yake itakua vipi.Ukitumia haya mawazo vizuri unaweza kuendelea na maisha yako japo unaweza usiache kumpenda.....ukifikiria kwamba unampenda ila hathamini upendo wako wala hajali hisia zako utapata sababu ya kukaa mbali nae na kutomuamini hata akikujia na machozi yake ya mamba.

Binafsi naamini wawili wakipendana kweli hamna kinachoshindikana.Swala la kwamba wengine hua wanabaki kwenye mahusiano yao ya kabla kwa sababu ya majukumu ni kudanganyana tu.Ukichukulia mfano wa mwanaume aliyeoa na ana mtoto ila kapenda kwingine.....anabaki kwenye ile ndoa kutimiza jukumu gani????Kama ni kua baba kwa mtoto wake anaweza kufanya hivyo bila kua na mama...kama ni jukumu la kua mume anakua amefeli tayari kwasababu mapenzi yake ameshahamishia sehemu nyingine tayari.

Kuhusu kupigania pigania kile unachostahili ....kinachotaka kupiyaniwa na una nafasi ya kukipata tu !!Otherwise utatumia muda mwingi kupigania kisicho riziki mpaka upitwe na kile ambacho ni riziki.Piga mahesabu kabla kuingia vitani....je ukishindwa utapoteza nini na kupata nini na je ukiweka mikono chini na kukubali kushindwa wakati bado uso haujachakaa kwa mawazo utapoteza nini na utapata nini.
 
My dear huyo mtu wa kukusukuma na kukuvuta kila anapojisikia kwakweli sidhani kama anakua anakupenda.....zaidi ya kutaka kukutumia kwa mahitaji yake.Na hata kama anakupenda atakua ni mbinafsi sana kukuacha umlilie alafu ukishafuta machozi yako anakuja tena kwako akijua kabisa ‘he/she can not stay with you‘.

Kitendo tu cha yeye kuchokonoa kidonda kilichopona au kinachokaribia kupona kinaonyesha kwamba atakua hajali mwisho wako utakua vipi bali leo yake itakua vipi.Ukitumia haya mawazo vizuri unaweza kuendelea na maisha yako japo unaweza usiache kumpenda.....ukifikiria kwamba unampenda ila hathamini upendo wako wala hajali hisia zako utapata sababu ya kukaa mbali nae na kutomuamini hata akikujia na machozi yake ya mamba.

Binafsi naamini wawili wakipendana kweli hamna kinachoshindikana.Swala la kwamba wengine hua wanabaki kwenye mahusiano yao ya kabla kwa sababu ya majukumu ni kudanganyana tu.Ukichukulia mfano wa mwanaume aliyeoa na ana mtoto ila kapenda kwingine.....anabaki kwenye ile ndoa kutimiza jukumu gani????Kama ni kua baba kwa mtoto wake anaweza kufanya hivyo bila kua na mama...kama ni jukumu la kua mume anakua amefeli tayari kwasababu mapenzi yake ameshahamishia sehemu nyingine tayari.

Kuhusu kupigania pigania kile unachostahili ....kinachotaka kupiyaniwa na una nafasi ya kukipata tu !!Otherwise utatumia muda mwingi kupigania kisicho riziki mpaka upitwe na kile ambacho ni riziki.Piga mahesabu kabla kuingia vitani....je ukishindwa utapoteza nini na kupata nini na je ukiweka mikono chini na kukubali kushindwa wakati bado uso haujachakaa kwa mawazo utapoteza nini na utapata nini.

Lizzy.................all I can say is THANK YOU
 
NILIPOSOMA HAPO PENYE RED NA BLUE NIMEJIKUTA MACHOZI ,
YANANITOKA PASIPOKUTARAJIA.......aah kupenda na kukosa
kunauma sana jamani.................kwa nini tunapenda,
HIVI HAKUNA DAWA YA KUTOPENDA?,
Hapa naongelea dawa ya kutompenda mpenzi/mume tu.

ILA upendo kwa watoto wetu/familia/ndugu/jamaa na rafiki zetu uendelee kuwepo.

Usilie Nnunu....na pole sana. bado hujampata umpendaye? ombea usimpate uendelee kutamani tu. Kupenda kubaya!
 
Hii ni imani ya babu:

Kuoa/kuolewa sio mwisho wa kupenda/kupendwa
Kuoa/kuolewa si kupenda.... unaweza ukaoa/ukaolewa na mtu asiyekupenda....baadaye ukaja ukakutana na unayempenda....Hapo ndoa haiwezi kuzuia penzi.

Asilimia kubwa ya ndoa ni za watu ambao hawako katika penzi....usishangae infidelity inavyoshika kasi.....ukianguka kwenye penzi, huwezi kucheat. Ukiona mtu anacheat, ujue ameoa/ameolewa na mtu ambaye hajampenda.....Huyo alitamani, akaoa/akaolewa.

Bila kuzunguka sana, kujibu swali lako...kuoa si mwisho wa kupenda.......... Ukipenda huwezi kupotezea, sanasana utakuwa unajitesa bure. Unapotezeaje? Hilo sina uhakika kama linawezekana, labda kama utakuwa hujapenda au babu sijui maana ya kupenda.

Babu anarudi kitandani.
Babu naomba nikuulize swali kidogo....umesema kwamba mtu akimuoa ampendae kweli hawezi kutoka nje ya ndoa.Je ina maana kwamba true love beats nature(as in mwanaume lazima awe na wanawake wengi)????
 
Karibu mpendwa.....hopefully ninesaidia angalau kidooooogo!
Lizzy believe me....si kidogo ni sana maana there are things that I didnt and would never think or see them in the way you have put them......kweli mapenzi ni kizungumkuti and people are taking advantage of it.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom