Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
Mwacheni dokta achukue jiko lake jumla jumla! Rose kamili huna wivu lakini roho inakuuma! Josephine atakuwa first lady! Rose una nafasi yako cos mtalaka hatongozwi! Rose tutakuachia EOTF ya mama mkapa,Josephine ataendelea na WAMA.
first lady ya wapi?.